Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Tumpeleke ngende huyuUkimuona utaweza kuvumilia au utatoka ndukiiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumpeleke ngende huyuUkimuona utaweza kuvumilia au utatoka ndukiiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tumpeleke ngende huyu
Kule kila mtu fundiBibi si alikufa? Au tyr mrithi mikoba kapatikana?
Kule kila mtu fundi
Twende tukalisakafie penzi letu, wanok nok wasije kulisepesha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaaa!! Umenishinda we mwanaume
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] daa hatari hiyo unaweza shituka watu wamejaa chumbani ha ha ha haSikia kijana, kamata paka na umuoshe uso. Maji Yale yakinge unaweza wew usoni. Kisha chukua fimbo ya kioande cha mti wa muhogo ifiche kiunoni. Utamuona laiv... Na Kwa sabab ana vitimbi ataanza kukatika viuno na kukusiginia. Mchape na fimbo
Baby sisy😍uko poa?Ukimuona utaweza kuvumilia au utatoka ndukiiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Baby sisy[emoji7]uko poa?
Baby sisy[emoji7]uko poa?
Huyo Musa anawapa nini? Mbona kawashika akili zenu kirahisi sana?Nenda kwa Kuhani Musa chukua kifaa Cha kiroho Cha maji ya mfuniko mweupe. .
Mwaga nyumba nzima ukiwa unaomba kwa Imani ya jina la YESU...
Atasema yeye mwenyewe kua ni mchawi ..
Paka mkubwa. Ila utaona mauzauza sana ukimuona mwanga. Sijui kama utapona tenaPaka wa umri wowote au wale vichanga ambavyo havijafungua macho?
Katufundisha neno la Mungu na tumelifanyia kazi tunaona matokeo...Huyo Musa anawapa nini? Mbona kawashika akili zenu kirahisi sana?
Sawa, imani yako imekuponya.Katufundisha neno la Mungu na tumelifanyia kazi tunaona matokeo...
AminaSawa, imani yako imekuponya.