Naomba mkopo wa milioni 1,000,000/= Nitazirejesha

Naomba mkopo wa milioni 1,000,000/= Nitazirejesha

hapa kuna halufu za utapeli..... yan una assets za 30m afu uhangaike kias hiki kupata 1m?!!!!collateral securities unazo kwann usijalibu katika taasisi rasmi za mikopo....
 
Habarini wakuu,
Kama kichwa cha habari hapo juu. Naomba kwa wajumbe humu ndani wenye kuwa na Moyo, niazimeni kiasi cha shilingi milioni moja.
Lengo la kupata kiasi hicho cha pesa ni kuongezea kwenye mtaji wangu wa biashara.
Kwa kifupi nina biashara ya duka/kiosk ambapo ninaendesha. Nina wateja wengi lakini variety ya bidhaa zipo chache kutokana na mtaji nilio nao. Nimejitahidi kuukuza mtaji kutoka 250,000 hadi above 30mln kwa muda wa 15 yrs hii ni inclusive asset nilizonazo kama nyumba, gari nk
Sasa hapa nilipo biashara inaendelea lakini kuna vitu vinahitajika hapa dukani ila cash ya kuvinunua sina. Sijawahi kukopa ku run biashara. Ila sasa ivi nataka ku inject pesa kutoka nje. Kama kuna mtu yupo radhi, mwenye moyo naomba mniazime some cash. Hata kwa contribution. Naahidi kuzirejesha with time ila sio kwa riba. Kama mpo radhi ndugu zangu naomba tuwasiliane PM.
Natanguliza shukrani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ukipata ntakuongezea laki mbili
 
Baadhi ya Watu wanauliza kama wanazo vile hizo za kumkopesha mleta mada...wengine wanainjoi tu
 
Kama ni mwanamke hewala ila kama ni kidume alafu unataka kukopeshwa miliyoo kirahisirahisi hivyo nakupa tahadhari tu kuwa hali ya nchi sio salama kwa wakati huu shauri yako.
Kwa comment hii na mindset hii hata kama unayo hio hela bora uzichome moto
 
wakuu samahanin san <br />naomba mtu au watu amabo wanauzoefu na biashara ya vifaa vya simu(phone accessories) kutoka kenya au Zanzibar kwa bei ya jumla vifaa hvyo ni km vile mics,system chargers, screen touches, glass protectors, earphones, phone covers,chargers,USB cables,carbons, speakers, motherboard,memory cards, flash, battery, nk. nahitaji kujua bei ya jumla kwa hayo maeneo mawili(kenya na zanzibar) na wapi ni nafuu zaid na maeneo ambayo ni dominant kwa kuuza hvyo vifaa kwa bei ya jumla msaada plzzz wakuu<br /> cont: +255769939879<br />whatsapp na voice call online 24/7
 
Mkuu nina gari aina ya kirikuu Mitsubishi iko vizuri sana nilikuwa nataka Mln 8 tu lakini sijapata mteja watu vyuma vimekaza. Mtu akija anasema ana Mln 6. na mimi siuzii njaa.
Kumbe kajeuri ww!!... Huuzii njaaa na hapa unalia lia na unataka million moja tena hutaki riba...Bureeeee kabisa .....huyo mtu cjui awe baba yako mzazi....Yaan mtu akupe hela yake ikae tu tena bila kunufaika ye hana kazi nayo au!!??....Hata bakheresa naamin hana hela ya hivo!!...ebu kajaribu kwa mashehe au kanisani wanaweza wakawa na huo moyo safiii[emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23]
 
Habarini wakuu,
Kama kichwa cha habari hapo juu. Naomba kwa wajumbe humu ndani wenye kuwa na Moyo, niazimeni kiasi cha shilingi milioni moja.
Lengo la kupata kiasi hicho cha pesa ni kuongezea kwenye mtaji wangu wa biashara.
Kwa kifupi nina biashara ya duka/kiosk ambapo ninaendesha. Nina wateja wengi lakini variety ya bidhaa zipo chache kutokana na mtaji nilio nao. Nimejitahidi kuukuza mtaji kutoka 250,000 hadi above 30mln kwa muda wa 15 yrs hii ni inclusive asset nilizonazo kama nyumba, gari nk
Sasa hapa nilipo biashara inaendelea lakini kuna vitu vinahitajika hapa dukani ila cash ya kuvinunua sina. Sijawahi kukopa ku run biashara. Ila sasa ivi nataka ku inject pesa kutoka nje. Kama kuna mtu yupo radhi, mwenye moyo naomba mniazime some cash. Hata kwa contribution. Naahidi kuzirejesha with time ila sio kwa riba. Kama mpo radhi ndugu zangu naomba tuwasiliane PM.
Natanguliza shukrani.
Nenda saccos ya jirani
 
Ukikosa wa kukukopesha bila riba karibu ofisini kwetu tukukopeshe kwa riba utarejesha kila mwezi kidogo kidogo
 
Mkuu nina gari aina ya kirikuu Mitsubishi iko vizuri sana nilikuwa nataka Mln 8 tu lakini sijapata mteja watu vyuma vimekaza. Mtu akija anasema ana Mln 6. na mimi siuzii njaa.
Kumbe huna njaa basi na mkopo hupati
 
Back
Top Bottom