Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Wakuu hiki kifaa naomba kujua kazi yake kuuna bei yake pia ikiwezekana..
Naweza kuipata maduka gani?
Naweza kuipata maduka gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unacho unauza unauza bei gani?Wakuu hiki kifaa naomba kujua kazi yake kuuna bei yake pia ikiwezekana..
Naweza kuipata maduka gani?
View attachment 2188207
Mkuu Sasa mbona hujanitoa ushamba kidogo.. nataka nifahami matumizi yake kimtindoKama unacho unauza unauza bei gani?
Wireless router hiyo
Basi tulia ukieleta unaziunazi hapa nitakuvyatua na hili bomuHilo ni bomu mkuu
Utakuwa uancho unauza maana huwezi kutaka kununua kitu usichojua matumizi yake 😀😀.Mkuu Sasa mbona hujanitoa ushamba kidogo.. nataka nifahami matumizi yake kimtindo
Kuna jamaa hapa kaniachia kitaa, So bado Sina taaluma nachoUtakuwa uancho unauza maana huwezi kutaka kununua kitu usichojua matumizi yake 😀😀.
Nimekwambia ni wireless router kwa ajili ya kuconnect vifaa vyake na internet
Ndo hivyo unauza bei ganiKuna jamaa hapa kaniachia kitaa, So bado Sina taaluma nacho
Wakuu hiki kifaa naomba kujua kazi yake kuuna bei yake pia ikiwezekana..
Naweza kuipata maduka gani?
View attachment 2188207
[emoji817]Mkuu, unauhakika haujui utakipata maduka gani kifaa hiki? unajua kusoma na kuandika? Usituchoshe, muulize huyo jamaa aliyekuachia alikokipata bila shaka hata bei atakutajia. Ijumaa kuu njema.