Naomba mnipe mbinu za kuingiza hela kupitia lugha pendwa ya Kiswahili kwa mtu mwenye taaluma ya ualimu wa Kiswahili

Naomba mnipe mbinu za kuingiza hela kupitia lugha pendwa ya Kiswahili kwa mtu mwenye taaluma ya ualimu wa Kiswahili

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Je, kupitia hii taaluma ya Kiswahili na kingereza, nawezaje Kupata Kipato?

Hasa Kupata Kipato kupitia lugha yetu ya Kiswahili.

Najua ntapata msaada hapa JF panapo Majaliwa.
 
Kua mwandishi wa vitabu vya fasihi uza

Mkalimani

Fundisha tuition
 
Una Elimu gani? Kama ni shahada moja rudi shule ukaongeze angalau shahada ya uzamili halafu urudi hapa!
 
Back
Top Bottom