Naomba mnipe ushauri wa sehemu gani nzuri na affordable ya kuweza kupata eneo zuri la kujenga makazi kwa ajili ya kuishi

Naomba mnipe ushauri wa sehemu gani nzuri na affordable ya kuweza kupata eneo zuri la kujenga makazi kwa ajili ya kuishi

Clas Ohlson

Member
Joined
Jun 18, 2024
Posts
27
Reaction score
70
Ndugu zangu hongereni kwa majukumu ya kujenga uchumi wenu kwa manufaa ya familia zenu bora.

Mimi naomba mnipe USHAURI wa sehemu gani nzuri na affordable ya kweza kupata eneo zuri la kujenga makazi kwa ajili ya kuishi mimi na familia yangu ambayo Mungu atanibariki hapo baadae.

KUSUDIO: Ni kupata eneo lenye ukubwa kuanzia Sq. Mita : 900 - hadi 1200.
Naamini nikipata eneo la ukubwa huo naweza jenga nyumba nzuri ya kisasa na kuweka mazingira mazuri kwa ajili yangu na familia ambayo naamini Mungu atanibariki.
MAWAZO YA AWALI: Kabla sijapata USHAURI wenu nimewaza maeneo kama KIBAMBA, GOGONI na kwa mbali nilikuwa nawaza maeneo kama ya CHANIKA, VIKINDU, MWANDEGE.
NOTE; Sijawahi kuwa na interest hata kidogo na KIGAMBONI.

BAJETI YANGU: Kwa ajili ya huo uwanja ina range kuanzia Million 10 - 15.

Kwa kuwa JF ni kisima cha maarifa, na wengi mna uzoefu wa maisha ya Dar basi naombeni USHAURI wenu ambao utanifanya ndoto yangu iweze kutimia.

NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWENU NDUGU ZANGU.
 
Dar unavyotafuta eneo la kujenga, nje ya mji kidogo, options zako ni tatu:
  • Morogoro Rd
  • Bagamoyo Rd
  • Kilwa Rd
Nadhani ungeanzia hapa wapi wewe unapenda ndio itakua rahisi watakao kusaidia kimawazo.

Vitu vya kukusaidia kuchagua uelekeo ni:
  • Shughuli zako za kila siku unafanyia wapi? Partner wako?
  • Fanya uchunguzi kujua maendeleo ambayo serikali imepanga kufanya miaka ijayo. Mfano kuna ujenzi wa hospital kubwa, chuo, etc.
  • Miundombinu ya sasa na baadae kama vile barabara.
  • Kupatikana kwa huduma za kijamii mfano shule, hospital, umeme, maji, etc.
Kila lakheri na congratulations.

NB: Fikiria wa Mkoa wa jirani Pwani, barabara ya Kimara Ubungo ikitanuliwa dakika 30 umefika Kibaha.
 
Dar unavyotafuta eneo la kujenga, nje ya mji kidogo, options zako ni tatu:
  • Morogoro Rd
  • Bagamoyo Rd
  • Kilwa Rd
Nadhani ungeanzia hapa wapi wewe unapenda ndio itakua rahisi watakao kusaidia kimawazo.

Vitu vya kukusaidia kuchagua uelekeo ni:
  • Shughuli zako za kila siku unafanyia wapi? Partner wako?
  • Fanya uchunguzi kujua maendeleo ambayo serikali imepanga kufanya miaka ijayo. Mfano kuna ujenzi wa hospital kubwa, chuo, etc.
  • Miundombinu ya sasa na baadae kama vile barabara.
  • Kupatikana kwa huduma za kijamii mfano shule, hospital, umeme, maji, etc.
Kila lakheri na congratulations.

NB: Fikiria wa Mkoa wa jirani Pwani, barabara ya Kimara Ubungo ikitanuliwa dakika 30 umefika Kibaha.
Ndugu nakushuru sana kwa observation zako na mchango wako.

Kimsingi so far naishi mkoani LAKINI lengo kuu ni kuwa na makazi ya familia Bora Dar es salaam. Huku nipo kujitafuta kimaisha tu.
Mtazamo wangu wa awali ni kufuata mwelekeo wa Morogoro road 🛣️ ambapo hata ninapokuwa natoka mkoani yanilazimu kutumia Morogoro road.
Sina shuguli za kufanya Dar kwa sasa, na wala huyo partner bado hajapatikana huenda atapatikana hapo baadae but kikubwa makazi Bora na sehemu nzuri, partner akipatikana ata-adjust shuguli zake kulingana na makazi ambayo Mungu atakuwa amenibariki kuyajenga DSM.

ASANTE SANA MKUU 🙏
 
Ndugu nakushuru sana kwa observation zako na mchango wako.

Kimsingi so far naishi mkoani LAKINI lengo kuu ni kuwa na makazi ya familia Bora Dar es salaam. Huku nipo kujitafuta kimaisha tu.
Mtazamo wangu wa awali ni kufuata mwelekeo wa Morogoro road 🛣️ ambapo hata ninapokuwa natoka mkoani yanilazimu kutumia Morogoro road.
Sina shuguli za kufanya Dar kwa sasa, na wala huyo partner bado hajapatikana huenda atapatikana hapo baadae but kikubwa makazi Bora na sehemu nzuri, partner akipatikana ata-adjust shuguli zake kulingana na makazi ambayo Mungu atakuwa amenibariki kuyajenga DSM.

ASANTE SANA MKUU 🙏
Umeshawahi kukaa Dar, namaanisha unaijua kiasi Dar?

Kusema kweli ni personal taste, ila mimi Kilwa Rd hapana ningeipa priority Morogoro Rd (kuanzia Mbezi Mwisho kwenda Mbele hadi Kongowe) na pili Bagamoyo Rd, kuanzia Bunju B kwenda Mbele.

Nimesema ivo kwasababu bei ya viwanja itakua rafiki kidogo uko.

Hii Kimara na Mbezi unauziwa kiwanja kiko inclined 40° hafu bei sasa.
 
Brother mji unahamia kilwa Road huku ndio mambo ipo huku.! Kwa hiyo budget yako unapata eneo kubwa tu unafurahia maisha.

Wanaokuambia bunju sijui morogoro Road ni watu waliozoea kurupushani na maisha ya kupanga chumba na sebule.

Sasa hivi hakuna mbali mjini unafika tu kwa haraka kama shughuli zako ni mjini.

Kilwa Road, mwandege ,vikings,kisemvule ,kibamba kuna maeneo mazuri unaweza kununua na kujiachia.

Watu wanaokaaa magomeni na kinondoni ila huwa wanakariri sana maisha na akili zao hazibadiliki kila siku wanataka kupishana na magari

Huku vikindu kuna sehemu zina mijengo kiasi ya kwamba kama umezoea kuishi magomeni nyumba ya kupanga tena zile za kizamani basi huwezi kuamini

Huku kilwa Road ni Vietnam ya pili kwa wingi wa watu na pia kuna fursa nyingi mno kwa sababu mji ndio unakuwa kwa kasi ya 7G
 
Brother mji unahamia kilwa Road huku ndio mambo ipo huku.! Kwa hiyo budget yako unapata eneo kubwa tu unafurahia maisha.

Wanaokuambia bunju sijui morogoro Road ni watu waliozoea kurupushani na maisha ya kupanga chumba na sebule.

Sasa hivi hakuna mbali mjini unafika tu kwa haraka kama shughuli zako ni mjini.

Kilwa Road, mwandege ,vikings,kisemvule ,kibamba kuna maeneo mazuri unaweza kununua na kujiachia.

Watu wanaokaaa magomeni na kinondoni ila huwa wanakariri sana maisha na akili zao hazibadiliki kila siku wanataka kupishana na magari

Huku vikindu kuna sehemu zina mijengo kiasi ya kwamba kama umezoea kuishi magomeni nyumba ya kupanga tena zile za kizamani basi huwezi kuamini

Huku kilwa Road ni Vietnam ya pili kwa wingi wa watu na pia kuna fursa nyingi mno kwa sababu mji ndio unakuwa kwa kasi ya 7G
Sio Dar uko.
 
Brother mji unahamia kilwa Road huku ndio mambo ipo huku.! Kwa hiyo budget yako unapata eneo kubwa tu unafurahia maisha.

Wanaokuambia bunju sijui morogoro Road ni watu waliozoea kurupushani na maisha ya kupanga chumba na sebule.

Sasa hivi hakuna mbali mjini unafika tu kwa haraka kama shughuli zako ni mjini.

Kilwa Road, mwandege ,vikings,kisemvule ,kibamba kuna maeneo mazuri unaweza kununua na kujiachia.

Watu wanaokaaa magomeni na kinondoni ila huwa wanakariri sana maisha na akili zao hazibadiliki kila siku wanataka kupishana na magari

Huku vikindu kuna sehemu zina mijengo kiasi ya kwamba kama umezoea kuishi magomeni nyumba ya kupanga tena zile za kizamani basi huwezi kuamini

Huku kilwa Road ni Vietnam ya pili kwa wingi wa watu na pia kuna fursa nyingi mno kwa sababu mji ndio unakuwa kwa kasi ya 7G
ASANTE SANA MKUU.

Vipi kuhusu huduma za kijamii kama vile upatikanaji wa maji, shule, afya kwa maana hospital na accessibility ya barabara?
Kwa mtazamo wako,kwa hayo maeneo uliyoyataja , which area is the best incase unamshauri ndugu yako anunue kiwanja where you will recommend?
 
Umeshawahi kukaa Dar, namaanisha unaijua kiasi Dar?

Kusema kweli ni personal taste, ila mimi Kilwa Rd hapana ningeipa priority Morogoro Rd (kuanzia Mbezi Mwisho kwenda Mbele hadi Kongowe) na pili Bagamoyo Rd, kuanzia Bunju B kwenda Mbele.

Nimesema ivo kwasababu bei ya viwanja itakua rafiki kidogo uko.

Hii Kimara na Mbezi unauziwa kiwanja kiko inclined 40° hafu bei sasa.
Mkuu Dar napafaham na nimewahi kuishi some years ago.
Kwa mara nyingine tena nakushuru sana kwa mchango wako wa mawazo kwa sababu kuna vitu muhimu nimejifunza kutokana na ushauri wako 🙏
 
Umeshawahi kukaa Dar, namaanisha unaijua kiasi Dar?

Kusema kweli ni personal taste, ila mimi Kilwa Rd hapana ningeipa priority Morogoro Rd (kuanzia Mbezi Mwisho kwenda Mbele hadi Kongowe) na pili Bagamoyo Rd, kuanzia Bunju B kwenda Mbele.

Nimesema ivo kwasababu bei ya viwanja itakua rafiki kidogo uko.

Hii Kimara na Mbezi unauziwa kiwanja kiko inclined 40° hafu bei sasa.
Bunju kwenda mbele usithubutu Kuna matapeli wa viwanja kama wote hata ujitie mjuaji vipi utalizwa
 
ASANTE SANA MKUU.

Vipi kuhusu huduma za kijamii kama vile upatikanaji wa maji, shule, afya kwa maana hospital na accessibility ya barabara?
Kwa mtazamo wako,kwa hayo maeneo uliyoyataja , which area is the best incase unamshauri ndugu yako anunue kiwanja where you will recommend?
Maji huku ni 100% kwa kuwa kuna watu wanavisima vyao wametengeneza km mfumo wa dawasa wanavutia watu maji na kulipa kwa mwezi. Barabara za ndani ni vumbi.hospital zipo zahanati tu za kawaida
 
Ndugu zangu hongereni kwa majukumu ya kujenga uchumi wenu kwa manufaa ya familia zenu bora.

Mimi naomba mnipe USHAURI wa sehemu gani nzuri na affordable ya kweza kupata eneo zuri la kujenga makazi kwa ajili ya kuishi mimi na familia yangu ambayo Mungu atanibariki hapo baadae.

KUSUDIO: ni kupata eneo lenye ukubwa kuanzia Sq. Mita : 900 - hadi 1200.
Naamini nikipata eneo la ukubwa huo naweza jenga nyumba nzuri ya kisasa na kuweka mazingira mazuri kwa ajili yangu na familia ambayo naamini Mungu atanibariki.
MAWAZO YA AWALI: Kabla sijapata USHAURI wenu nimewaza maeneo kama KIBAMBA, GOGONI na kwa mbali nilikuwa nawaza maeneo kama ya CHANIKA, VIKINDU, MWANDEGE.
NOTE; Sijawahi kuwa na interest hata kidogo na KIGAMBONI.

BAJETI YANGU: Kwa ajili ya huo uwanja ina range kuanzia Million 10 - 15.

Kwa kuwa JF ni kisima cha maarifa, na wengi mna uzoefu wa maisha ya Dar basi naombeni USHAURI wenu ambao utanifanya ndoto yangu iweze kutimia.

NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWENU NDUGU ZANGU.
jenga kwenu au hukuhuko ulipo
kwani kuna shida gani huko
 
jenga kwenu au hukuhuko ulipo
kwani kuna shida gani huko
Mkuu nashukuru kwa ushauri wako na kujali.
Mimi nyumbani kijijini kwetu nimeahajenga tayari nyumba nzuri ya kisasa na kuweka mazingira mazuri ya nyumbani ili hata ninapokuwa likizo nyumbani mazingirq yaendane na huku nilipo.

Pamoja na kujenga nyumba nzuri nyumbani, ndoto yangu ni kuwa na makazi bora jijini Dar es salaam.
Endapo Mungu atanijalia kuwa na mke na kupata familia (watoto), in 30 years to come mimi sitokuwa na uwezo wa kujenga tena DSM achilia mbali watoto kuwa na uwezo wa kujenga tena DSM.
HIVYO NDOTO NI KUWA NA MAKAZI BORA DSM KWA AJILI YANGU MIMI NA FAMILIA NITAKAYOJALIWA NA MUNGU
 
Mkuu nashukuru kwa ushauri wako na kujali.
Mimi nyumbani kijijini kwetu nimeahajenga tayari nyumba nzuri ya kisasa na kuweka mazingira mazuri ya nyumbani ili hata ninapokuwa likizo nyumbani mazingirq yaendane na huku nilipo.

Pamoja na kujenga nyumba nzuri nyumbani, ndoto yangu ni kuwa na makazi bora jijini Dar es salaam.
Endapo Mungu atanijalia kuwa na mke na kupata familia (watoto), in 30 years to come mimi sitokuwa na uwezo wa kujenga tena DSM achilia mbali watoto kuwa na uwezo wa kujenga tena DSM.
HIVYO NDOTO NI KUWA NA MAKAZI BORA DSM KWA AJILI YANGU MIMI NA FAMILIA NITAKAYOJALIWA NA MUNGU
tafuta namna ya kuwekeza kwanza mkuu, kwenye kitu kinachozalisha income
 
Back
Top Bottom