Clas Ohlson
Member
- Jun 18, 2024
- 27
- 70
Ndugu zangu hongereni kwa majukumu ya kujenga uchumi wenu kwa manufaa ya familia zenu bora.
Mimi naomba mnipe USHAURI wa sehemu gani nzuri na affordable ya kweza kupata eneo zuri la kujenga makazi kwa ajili ya kuishi mimi na familia yangu ambayo Mungu atanibariki hapo baadae.
KUSUDIO: Ni kupata eneo lenye ukubwa kuanzia Sq. Mita : 900 - hadi 1200.
Naamini nikipata eneo la ukubwa huo naweza jenga nyumba nzuri ya kisasa na kuweka mazingira mazuri kwa ajili yangu na familia ambayo naamini Mungu atanibariki.
MAWAZO YA AWALI: Kabla sijapata USHAURI wenu nimewaza maeneo kama KIBAMBA, GOGONI na kwa mbali nilikuwa nawaza maeneo kama ya CHANIKA, VIKINDU, MWANDEGE.
NOTE; Sijawahi kuwa na interest hata kidogo na KIGAMBONI.
BAJETI YANGU: Kwa ajili ya huo uwanja ina range kuanzia Million 10 - 15.
Kwa kuwa JF ni kisima cha maarifa, na wengi mna uzoefu wa maisha ya Dar basi naombeni USHAURI wenu ambao utanifanya ndoto yangu iweze kutimia.
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWENU NDUGU ZANGU.
Mimi naomba mnipe USHAURI wa sehemu gani nzuri na affordable ya kweza kupata eneo zuri la kujenga makazi kwa ajili ya kuishi mimi na familia yangu ambayo Mungu atanibariki hapo baadae.
KUSUDIO: Ni kupata eneo lenye ukubwa kuanzia Sq. Mita : 900 - hadi 1200.
Naamini nikipata eneo la ukubwa huo naweza jenga nyumba nzuri ya kisasa na kuweka mazingira mazuri kwa ajili yangu na familia ambayo naamini Mungu atanibariki.
MAWAZO YA AWALI: Kabla sijapata USHAURI wenu nimewaza maeneo kama KIBAMBA, GOGONI na kwa mbali nilikuwa nawaza maeneo kama ya CHANIKA, VIKINDU, MWANDEGE.
NOTE; Sijawahi kuwa na interest hata kidogo na KIGAMBONI.
BAJETI YANGU: Kwa ajili ya huo uwanja ina range kuanzia Million 10 - 15.
Kwa kuwa JF ni kisima cha maarifa, na wengi mna uzoefu wa maisha ya Dar basi naombeni USHAURI wenu ambao utanifanya ndoto yangu iweze kutimia.
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWENU NDUGU ZANGU.