Naomba mnipe ushauri wa sehemu gani nzuri na affordable ya kuweza kupata eneo zuri la kujenga makazi kwa ajili ya kuishi

Bunju kwenda mbele usithubutu Kuna matapeli wa viwanja kama wote hata ujitie mjuaji vipi utalizwa
Yani Bunju wanakutoa kamasi darisalama hii, basi wewe huwezi kuishi popote, hupaswi kutoa ushauri humu ndani.
 
Kibamba kiluvya, Hapo hujakosea. Usafir uhakika na soon kutakuwa hot cake. Hii barabara ya Morogoro road haina shida.

Huko chanika achana napo, kwanza mbali, Usafiri ishu, sio ustaarabuni, kama kumsuswa ikitokea hata miundo mbinu kuharibika it takes forever. Maji ya dawasco ni sehem chache utapata, Utaambiwa mbona wengine wanaishi, sijui hivi vile lakini kwa kiwaki.

Kibaha, na huo ukanda ulio utaja una angalau.
 
Kilwa road uchawi Sana utauza eneo lako achana nako huko hakufai utaja nikumbuka nenda morogoro road au bagamoyo road huko sijui mbagala kisemvule vikindu achana napo utakufa maskini
MOROGORO ROAD nenda kibaha huko Kuna kujenga barabara ya njia 6 to chalinze
 
Asante sana kwa ushauri wako
 
Umeshapata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…