You are right, ila ndio sijasevu sasaHiyo ni changamoto.
Nilichojifunza ni kusevu hizi avatar kwenye drive, siku ukitaka kuirudia ni rahisi kuipata
Ooh really?? Are you one of them? What makes it offensive?Halafu hiyo "you are right" usipende sana kuitumia kama siyo lazima.
It is offensive to some people
Najua kwa wengine ni kazi ndogo tu hiyo ndio maana nimekuja kuomba msaada mbona unakuwa kama unanizodoa?Wabongo IT ni tatzo mbna kazi ndogo hiyo...yaani system inahifadhi kila unachokitumia ishu ni kujua kiko wapi kama hujakisave kwa njia ya kawaida.
Tafuta mtu unaemwamini IT mpe password ya account ni jambo dogo Hilo
Wapi nimekuzodoa?Najua kwa wengine ni kazi ndogo tu hiyo ndio maana nimekuja kuomba msaada mbona unakuwa kama unanizodoa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile naanza kusoma nijue kuna zawadi gani nono nikaona unasema unatania
Haya tufanye hujanizodoa, ahsante kwa ushauri wako nitaufanyia kaziWapi nimekuzodoa?
Hapana, bibi harusi ni mweusi tiiIle kama ya harusi mdada mzungu kavaa gauni jeupe?
Bwana harusi ndio mzungu? Mimi nakumbuka moja ya mdada mzungu amevaa gauni jeupe
Bwana harusi ndio mzungu? Mimi nakumbuka moja ya mdada mzungu amevaa gauni jeupe
binti ana sura ya kisukuma