Omyzdiary
New Member
- Feb 10, 2020
- 3
- 4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha hii sijawahi kuiona asee
Mimi hapa hapana elewa. Ndio umesemaje? 😁 ...
Bby mambo mengine ungenitext wasapu tuyamalizeHapo kwenye zawadi nono nimetania tu.
Naomba anayeweza kupata ile avatar yangu ya zamani ya bi harusi anamnywesha mumewe mvinyo(,members wa zamani mnaijua)
Nimejaribu kuitafuta huko mtaani ila juhudi zangu zimegonga mwamba.
Naomba mnisaidie tafadhali ninaihitaji sana.
Natanguliza shukrani [emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye zawadi nono nimetania tu.
Naomba anayeweza kupata ile avatar yangu ya zamani ya bi harusi anamnywesha mumewe mvinyo(,members wa zamani mnaijua)
Nimejaribu kuitafuta huko mtaani ila juhudi zangu zimegonga mwamba.
Naomba mnisaidie tafadhali ninaihitaji sana.
Natanguliza shukrani [emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulivyoanza nikajua mwemzetu upo vizuri kwenye mambo ya ITWabongo IT ni tatzo mbna kazi ndogo hiyo...yaani system inahifadhi kila unachokitumia ishu ni kujua kiko wapi kama hujakisave kwa njia ya kawaida.
Tafuta mtu unaemwamini IT mpe password ya account ni jambo dogo Hilo
Umeelewa lakini au umekurupuka usingizini.
NimekurupukaUmeelewa lakini au umekurupuka usingizini.
Lazma mtu aingie kwa account yake ndo airudishe vinginevyo atafute kawaida...acha kukurupuka
Rwandese hao wote! Binti Wa kisukuma hawezi kuwa hivyo...binti ana sura ya kisukuma
Ndio, wakati natumia hii avatar we ulikuwa bado hujazaliwaHahaha hii sijawahi kuiona asee
Nimesema Yego hujambo?Mimi hapa hapana elewa. Ndio umesemaje? [emoji16] ...
Mimi naipenda hiiMi niliipenda ile ya yule dada wa kikorea aliyeshika bastola ilikupendeza sana ile.
Sawa