Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Naomba uniambie sio kazi ninayoifikiria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba uniambie sio kazi ninayoifikiria.
Hiyo hiyo, kwani we huitaki?Naomba uniambie sio kazi ninayoifikiria.
Naitaka tena saana.... .....mimi nani hadi nisiepende tena ya kutoka kwako.
Si ndio nilitaka kushangaaNaitaka tena saana.... .....mimi nani hadi nisiepende tena ya kutoka kwako.
Kwema lakini?
[emoji16][emoji16][emoji16] daah ndio wakumbuka kunisalimia sasa hivi? Sio kwema niko kwenye self isolation niletee chipsi kukuKwema lakini?
Hahaha nadaiwe ndio, kwema lakini?Bi mkubwa unabadili avatar kama unadaiwa vile
Afadhali wewe mimi wamenikarantin nimebakiza siku 7...niombee nisiupatie hapa.[emoji16][emoji16][emoji16] daah ndio wakumbuka kunisalimia sasa hivi? Sio kwema niko kwenye self isolation niletee chipsi kuku
Sent using Jamii Forums mobile app
Alaaa, hii yote ni ili usiniletee chipsi kuku?Afadhali wewe mimi wamenikarantin nimebakiza siku 7...niombee nisiupatie hapa.
Unataka nikuambukize wewe.
Hiyo it unayozungumzia hapo ni expert level siyo ordinary, usilaumu watu, wengi wetu humu ni basic tu knowledgeWabongo IT ni tatzo mbna kazi ndogo hiyo...yaani system inahifadhi kila unachokitumia ishu ni kujua kiko wapi kama hujakisave kwa njia ya kawaida.
Tafuta mtu unaemwamini IT mpe password ya account ni jambo dogo Hilo
Kweli upo kwenye isolation....tuma direction basi nilete kihepe yai.
Palepale pa siku zoteKweli upo kwenye isolation....tuma direction basi nilete kihepe yai.
nilishangaa na hiyo ndio sababu ya mishangao mitatu!
Utahangaika na ma avatar mpk basi ila the best avatar ambayo ilikupendeza ni ile ya mdada anatabasamu, yn ile was the best avatar for you sema ujuagi tu, ni km Davinci anavyosumbuka ku change ma Avatar wkt Avatar yke bora ni ile ya TI km ckoseiHapo kwenye zawadi nono nimetania tu.
Naomba anayeweza kupata ile avatar yangu ya zamani ya bi harusi anamnywesha mumewe mvinyo(,members wa zamani mnaijua)
Nimejaribu kuitafuta huko mtaani ila juhudi zangu zimegonga mwamba.
Naomba mnisaidie tafadhali ninaihitaji sana.
Natanguliza shukrani [emoji120][emoji120]
UPDATES
Nashukuru jamani nimeshaipata, ndio hiyo kwa avatar
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile ya mdada anatabasamu mnene kiasi Dah kwnn huikumbuki? Hebu weka hapa avatar mbili ulizotumia kabla ya hii ila ziwe za mdada anayetabasam Zen ntakuambia ipiMbona sikumbuki