Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Depends on the context.
It is usually the case when arguing.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumbeDepends on the context.
It is usually the case when arguing.
Jina lake iyo picha inaitwaje tui gugoHapo kwenye zawadi nono nimetania tu.
Naomba anayeweza kupata ile avatar yangu ya zamani ya bi harusi anamnywesha mumewe mvinyo(,members wa zamani mnaijua)
Nimejaribu kuitafuta huko mtaani ila juhudi zangu zimegonga mwamba.
Naomba mnisaidie tafadhali ninaihitaji sana.
Natanguliza shukrani [emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha shemeji bwana, mimi nadhani inategemea limetumika maeneo gani...mimi na wewe hapa hatukuwa tunabishanaKuna quotes kadhaa kuhusu hilo neno, sema siyo issue sana ila ni interpretations tu nahisi.
View attachment 1399684
Hahaha shemeji bwana, mimi nadhani inategemea limetumika maeneo gani...mimi na wewe hapa hatukuwa tunabishana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nipambane uipate my love, teamo.Hapo kwenye zawadi nono nimetania tu.
Naomba anayeweza kupata ile avatar yangu ya zamani ya bi harusi anamnywesha mumewe mvinyo(,members wa zamani mnaijua)
Nimejaribu kuitafuta huko mtaani ila juhudi zangu zimegonga mwamba.
Naomba mnisaidie tafadhali ninaihitaji sana.
Natanguliza shukrani [emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha halafu mimi huwa napenda Sana kuitumia kwenye mazingira hayo uliyotaja. Na hasa pale mtu anapoacha kuleta hoja badala yake analeta viroja...na sitoachaKwa hii hapa haiko hivyo, ila kuna mara kadhaa nilishawahi kukuona umeitumia mahali ambapo ilifit hivyo.
Ila pia inategemea na mind ya mtu.
[emoji16][emoji16][emoji16]Duuh...! Kweli itakuwa sina bahati tu. Nimekutana nayo inaelekea uelekeo wa stand muda si mrefu. Si ningejinyakulia hii zawadi jamani. Ngoja nikacheck kama imeshapanda gar.[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha umechelewa zawadi hewaDuh nimechelewa zawadiii japo haipo
Mkorea anavyopenda zawadi kaitoa harakaharaka.. anasubiria zawadi nono hapoDuh nimechelewa zawadiii japo haipo
Hahaha ameshapata zawadi yakeMkorea anavyopenda zawadi kaitoa harakaharaka.. anasubiria zawadi nono hapo
Ama kweli 😅😅😅
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ama kweli [emoji28][emoji28][emoji28]