Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
- Thread starter
- #101
Likija suala la avatar nitaweka ninayoitaka mimi maana kama nikisikiliza maoni ya watu kila mtu anataja yakeIle ya mdada anatabasamu mnene kiasi Dah kwnn huikumbuki? Hebu weka hapa avatar mbili ulizotumia kabla ya hii ila ziwe za mdada anayetabasam Zen ntakuambia ipi