Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha
Alikuwa ananyonya kumbe?
Mi niliipenda ile ya yule dada wa kikorea aliyeshika bastola ilikupendeza sana ile.
[emoji16][emoji16]Kwa hyo Avatar naona maharusi wote wamevaa sura za kazi, yawezekana ndoa ilianzia ICU ila sasa waishi vizur
Ananyonya nini mtoto ambae hajazaliwa bado DabyAlikuwa ananyonya kumbe?
Kumbe mdogo hivyo eeh....
Afadhali haujabisha.
Hivi kwa mfano akatokea mtu akamwambia magu 'wewe sio rais wa Tanzania' Magu ataanza kubishana nae?Afadhali haujabisha.
Hapana kwa kweli...ni sawa mimi atokee mtu anibishie kama nakutaka.Hivi kwa mfano akatokea mtu akamwambia magu 'wewe sio rais wa Tanzania' Magu ataanza kubishana nae?
Sent using Jamii Forums mobile app
Au mtu aniambie mimi nampenda Daby, nitaanza kubisha?Hapana kwa kweli...ni sawa mimi atokee mtu anibishie kama nakutaka.
Nitabisha kweli?
Mimi nitabisha.
Haya nikija unipokee sasa.
Tehteh.... kwa kuringa....siunajua kabila lenu mnavyodeka.
Aah wapi sisi tunajua tu kupiga kaziTehteh.... kwa kuringa....siunajua kabila lenu mnavyodeka.