asante
sio unalionea huruma, kwani huruma yako yamfaa nini kama haupo sincere regardless ya ushoga wake.
Kijana mtamusana kama unahisi hali hiyo si sawa then kweli si sawa. Ugumu wa hali hiyo unaijua mwenyewe. Wewe na akili na nafsi yako ndio mnaweza kutatua yanayokusibu. Unachotafuta kwa watu sio sympathy bali encouragement. Binadamu waone hivyo hivyo, they are incapable of helping anybody let alone themselves.
Nafsi yako inajua kila kitu kwa usahihi kabisa, itumie hiyo hiyo na utafanikiwa kupata balance unayohitaji kwenye maisha yako.
Anza kuchukua hatua ya kutengeneza mazingira ya nje yatakayokuwezesha kuepuka kuchochea hiyo hali, pia angalia msaada wa kisaikolojia. Na msaada mkubwa zaidi ni wa kiroho....
haha wee naweeeeee hebu toa ushauri
Pm yako itajaa nahissss
Sio unalionea huruma, kwani huruma yako yamfaa nini kama haupo sincere regardless ya ushoga wake.
Kijana mtamusana kama unahisi hali hiyo si sawa then kweli si sawa. Ugumu wa hali hiyo unaijua mwenyewe. Wewe na akili na nafsi yako ndio mnaweza kutatua yanayokusibu. Unachotafuta kwa watu sio sympathy bali encouragement. Binadamu waone hivyo hivyo, they are incapable of helping anybody let alone themselves.
Nafsi yako inajua kila kitu kwa usahihi kabisa, itumie hiyo hiyo na utafanikiwa kupata balance unayohitaji kwenye maisha yako.
Anza kuchukua hatua ya kutengeneza mazingira ya nje yatakayokuwezesha kuepuka kuchochea hiyo hali, pia angalia msaada wa kisaikolojia. Na msaada mkubwa zaidi ni wa Kiroho....
you need jesus!
Ni kama nakufahamu wewe,umemsumbua sana mama yako,lakini mie yamekuja haya mambo automatically sikuwa nina act wala sikupata influence ya mtu. wala mimi sijiuzi mie sina shid ya pesa kwetu zipo. hayo matusi yao sijui yanakuwje
hapaka kaka sipo katika kujiuza nipo ktk kupata msaada. sina shida ya mtu wala pesa
Pm yako itajaa nahissss
Tunaomba picha yako
Sasa kijana kama dushe linafanya kazi kwa hiyo wewe unachimbwa mtaro tu au na wewe unawachimba???
Murudie Mungu tu maana hapo hakuna namna tena. Nenda kanisani inawezEkana wewe una mapepo.
Yaani ukiona papuchi unakosa hamu?? Duh kweli duniani humu,humu kuna watu wana shida na wanahitaji msaada mkubwa
Ebu nitafute ninautaalamu na mambo hayo nitafute tuongee
Hii hapo ndo maelezo ya kwenye profile yake ya JF, doesnt look like someone who wants to stop being gay
Cc Elizabeth Dominic masai dada grafani11