Ni kama nakufahamu wewe,umemsumbua sana mama yako,
kama kweli umeamua kubadilika omba msamaha kwanza kwa mama yako mzazi maana umemsumbua sana.
Pili kuwa mpole usikilize ushauri unaopewa, wa kwanza kubali kwamba utabadilisha hiyo ID yako.
Tatu ukitaka Mungu akusaidie sema ukweli,msema kweli ni mpenzi wa Mungu,
Ushoga ni malezi na wala siyo maumbile,kusema una homone za kike
unataka kuniambia unavaa nguo za kike?
kama jibu ni hapana ulianzaje kutongozwa na wewe ukaingia mkenge? au wewe kwa sababu ya homone zako
ndo ulitongoza wanaume? kama uliwatongoza,hizo siyo homone za kike maana wanawake wa asili hutongozwa na
wala hawatongozi,labda ukiniambia ni homones za kipepo mimi nitakubaliana na wewe.
Nakushauri kaombewe,hilo pepo lazima litakutoka,na hata kama itachukua muda wewe kazana Mungu atakusaidia.
Watafute wachungaji wanaofanya huduma za maombezi.ongea nao watakuombea kisiri wala hawatakutangaza
kama kweli umeamua kubadilika.