Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuPanda daladala za kwenda hosp ya Benjamin mkapa Kisha mwambie kondakta wa dala nashukia njia panda ya kwenda ofisi za utumishi ukishuka kunabodaboda au bajaji pale njia panda wambie wakupeleke majengo ya doct. Rose migiro
Ahaa unaenda ofisini kwao kabisa, hawajatoa venue sehemu ingine? Au wao wenyewe ndio wanakuhitaji🤣🤣🤣 Hahahah acha tu mkuuu Nina interview kesho Sasa nataka nikapajue
Maelekezo yanasema oral interview itafanyika OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA ZILIZOPO MAJENGO YA DKT. ASHA ROSE MIGIRO, UDOMAhaa unaenda ofisini kwao kabisa, hawajatoa venue sehemu ingine? Au wao wenyewe ndio wanakuhitaji
Safi mkuu pambana ukalambe asali, hauko mbali na kibuyu cha asali.
Umeupiga mwingi
Eeh fanya kweli umalize mzee upepo uko upande wakoNoma mkuu interview yangu ya kwanza hata Huku oral nimefika hata sikua na matumain ngoja nipambane Sasa hiyo kesho