mabestejr
JF-Expert Member
- Jun 8, 2022
- 205
- 122
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kibomuHongera sana mkuu written ulipita kwa mbinu gani
hakika na simu janja
Google map haisemi daladala za kupanda.Una simu janja hujui hata matumizi ya Google Map!!!!
Vip maswali yote yanahusu kada husika au mengne ni yale ya mitego tu?Amina nishafanya interview tayari
Hongera mkuukuna dogo langu lishapiga kama mbili ili huwa wanakula kichwa kwenye writtenAmina nishafanya interview tayari
Hii mbinu tamu sem ukikamatw jehakika na simu janja
Mkuu kama una malalamiko au pongezi Ingia emrejesho lila kitu mule.Wakuu habari,
Naomba msaada wa maelekezo ya kufika hapo Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma zilizopo majengo ya Dkt. Asha Rose Migiro, Udom nikitokea stand ya dalala Sabasaba.
Asante sana [emoji120]
Ung'eng'e tu hapo mkuu hakuna tofauti na hapoInterview ya oral ilikua ya lugha gan mkuu? Au unachagua?
Hongera sana ngoja tuje na sisi.Afu wazee interview unafanya kibosi umekaa kabisa kwenye kiti na kiyoyozi juu hahaha