Hiv wadau maswali y oral yanafana kwa candidates wote kwa kada husika au kila mtu anagogwa lake kulingana muuliza swali anavyoona ,alafu hapo juu kuna mdau kasema unapewa kiti ukae sasa hapo mbele yako kuna kuwa na meza au ni kiti tu?maana nipo kwenye maandilizi ya kuandaaa pozi la kukaa huku nikiwang'aza kwenye mijicho yao wale jamaa