donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Issue siyo kusoma Mita, unapaswa kujuwa bei ya maji ya per unit.Salam wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, naomba msaada jinsi ya kusoma hizi Mita maana muda mwingine nahisi wananibambika bili. Matumizi ya kawaida tu ya maji na hapo ni familia ya watu wanne tu lakini jana wamenitumia bili elfu thelathini. Ningesema pengine labda kwakua nilipanda migomba ila tangu mvua zianze December migomba hatumwagilii tena. Naomba msaada wakuu!View attachment 2890471
Nashukuru mkuu japo simtank bado sijajaliwa. Issue ni kwamba hata ile sms hua wanasema usomaji uliopita ni unit kadhaa, usomaji wa sasa NI kadhaa hamna, wanaleta tu billIssue siyo kusoma Mita, unapaswa kujuwa bei ya maji ya per unit.
Kila tarehe ya usomi mita unaambiwa ili uhakiki, na bili ikitumwa inaonesha ni kutoka unit Fulani mpaka unit Fulani, sasa hapo unaibiwa vipi?
Ukitaka kuthibitisha kama Una simtak jaza maji kwenye simtak soma meter yako andika pembeni, yakiisha jaza tena andika pembeni usimtumie direct Bombay linaleta maji then mwisho wa mwezi utajuwa meter yako ulitumia unit ngapi.
Ilikua 00 mkuu495 Angalia Usomaji Uliopta Ilikuwa Inasoma Ngapi
Pia Kuna kipindi maji yanakuwa hayatoki wanafungua Bomba wanaacha wazi Ili yakitoka wasikie ule upepo nao unazungusha mita.... Ama anafungua maji anayaona. Yanafoka zaidi kuliko kutoka lakini anaendelea tu kuacha yanafoka weee yanatoka kidogo yanafokaaaa yanatoka kidogo nayo hiyo inakimbiza mita.... Na pia matumizi ya maji kila saa bombani ni Bora kuwa na vifaa vya maji unajaza unatumia yakiisha unajaza Tena sio matumizi mazuri kutumia maji mara Kwa mara Moja Kwa Moja kutoka bombani ... Kingine watoto na majirani kama anawarusu kutumia Bomba.....Issue siyo kusoma Mita, unapaswa kujuwa bei ya maji ya per unit.
Kila tarehe ya usomi mita unaambiwa ili uhakiki, na bili ikitumwa inaonesha ni kutoka unit Fulani mpaka unit Fulani, sasa hapo unaibiwa vipi?
Ukitaka kuthibitisha kama Una simtak jaza maji kwenye simtak soma meter yako andika pembeni, yakiisha jaza tena andika pembeni usimtumie direct Bombay linaleta maji then mwisho wa mwezi utajuwa meter yako ulitumia unit ngapi.
usitumie hisia, uwe unarikodi na wewe mwenyewe, utapata majibumwingine nahisi
Sasa soma hiyo bill lazima inaonesha unit ulizotumia, Anza kufuatilia mwenyewe.Nashukuru mkuu japo simtank bado sijajaliwa. Issue ni kwamba hata ile sms hua wanasema usomaji uliopita ni unit kadhaa, usomaji wa sasa NI kadhaa hamna, wanaleta tu bill
Pale kwenye meter usiache on Bila kulock, hizo meter hata ule upepo hakuna maji huwa zinarekodi.Pia Kuna kipindi maji yanakuwa hayatoki wanafungua Bomba wanaacha wazi Ili yakitoka wasikie ule upepo nao unazungusha mita.... Ama anafungua maji anayaona. Yanafoka zaidi kuliko kutoka lakini anaendelea tu kuacha yanafoka weee yanatoka kidogo yanafokaaaa yanatoka kidogo nayo hiyo inakimbiza mita.... Na pia matumizi ya maji kila saa bombani ni Bora kuwa na vifaa vya maji unajaza unatumia yakiisha unajaza Tena sio matumizi mazuri kutumia maji mara Kwa mara Moja Kwa Moja kutoka bombani ... Kingine watoto na majirani kama anawarusu kutumia Bomba.....
00 maana yake ni meter Mpya ndio inafunguliwa seal?Ilikua 00 mkuu
Unapigwa Huwezi Kutumia Yote HiyoIlikua 00 mkuu
Wewe soma hapo kwenye 00495 m3. Mfano mwezi ujao ikasoma 00500 m3 maana yake umetumia 5 m3. Kwa bei ya huku kwetu 1 m3 ni tshs 1772 au tshs 2000 kama utatumia 5 m3 au zaidi.Salam wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, naomba msaada jinsi ya kusoma hizi Mita maana muda mwingine nahisi wananibambika bili. Matumizi ya kawaida tu ya maji na hapo ni familia ya watu wanne tu lakini jana wamenitumia bili elfu thelathini. Ningesema pengine labda kwakua nilipanda migomba ila tangu mvua zianze December migomba hatumwagilii tena. Naomba msaada wakuu!View attachment 2890471
Nashukuru mkuu!Wewe soma hapo kwenye 00495 m3. Mfano mwezi ujao ikasoma 00500 m3 maana yake umetumia 5 m3. Kwa bei ya huku kwetu 1 m3 ni tshs 1772 au tshs 2000 kama utatumia 5 m3 au zaidi.
Sasa fanya hesabu Ile za kkk hazihitaji hata darasa.
Acha uongo wewe ilikuwa 00 au 00000? Maana yake umetumia 495 m3? Hapo bili yako ni 495 *200 = 98000/- sasa hiyo 30000 kivipi? Au huko kwenu maji bei gani?Ilikua 00 mkuu
kama ume lock, kisha kale kadude kakaacha kuzunguka, basi mfumo wa bomba una leakagePale kwenye meter usiache on Bila kulock, hizo meter hata ule upepo hakuna maji huwa zinarekodi
Kua basi mwerevu kidogo mkuu kabla ya kuprovokeAcha uongo wewe ilikuwa 00 au 00000? Maana yake umetumia 495 m3? Hapo bili yako ni 495 *200 = 98000/- sasa hiyo 30000 kivipi? Au huko kwenu maji bei gani?
Lazima wakuambie usomaji uliopita na wa sasa kisha tofauti ule na huu ni uniti kadhaa sawa na shilingi kadhaa, hapo mmemaliziana.Nashukuru mkuu japo simtank bado sijajaliwa. Issue ni kwamba hata ile sms hua wanasema usomaji uliopita ni unit kadhaa, usomaji wa sasa NI kadhaa hamna, wanaleta tu bill