mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,983
- 6,171
Basi kalipe unit 495.Ilikua 00 mkuu
Though hizi ni units nyingi sana! Ulikuwa na ujenzi wowote? Una watoto ?Kuna umbali gani toka kwenye mita hadi kwenye nyumba?
Maji huwa yanakatika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kalipe unit 495.Ilikua 00 mkuu
Kwann uzidishe na 200Acha uongo wewe ilikuwa 00 au 00000? Maana yake umetumia 495 m3? Hapo bili yako ni 495 *200 = 98000/- sasa hiyo 30000 kivipi? Au huko kwenu maji bei gani?
Niliwapigia simu wakaniambia hizo 495 inamaanisha ni tangu wanifungie mita ambapo ni mwaka 2022 ndio nimetumia units hizo zote. Sasa leo nalipia halafu nataka nianze kufanya monitoring mwenyewe na ninunue vile vidude vya kufunga kwenye lockBasi kalipe unit 495.
Though hizi ni units nyingi sana! Ulikuwa na ujenzi wowote? Una watoto ?Kuna umbali gani toka kwenye mita hadi kwenye nyumba?
Maji huwa yanakatika?
Hizo luku za maji zitakuwa more efficient kuliko utapeli unaofanyika sasa. Mtu akijiskia kukubambikia bill anakutwisha tuSasa soma hiyo bill lazima inaonesha unit ulizotumia, Anza kufuatilia mwenyewe.
Haiwezekani Mita yako inasoma upo kwenye unit 200 halafu bill isome upo unit 250 hapo unaweza hata kuwashtaki mahakamani.
Ila nyinyi ndio mtasababisha tuletewe Mita za Luku za maji sasa.
Kuna huduma post paid ina faida yake kuliko prepaid.
Hapo sawa lakini monitoring huwezi kufanya mwenyewe labda kama unaishi mwenyewe. Monitoring inafanywa na wote wanaotumia hayo maji.Niliwapigia simu wakaniambia hizo 495 inamaanisha ni tangu wanifungie mita ambapo ni mwaka 2022 ndio nimetumia units hizo zote. Sasa leo nalipia halafu nataka nianze kufanya monitoring mwenyewe na ninunue vile vidude vya kufunga kwenye lock
Ni makosa, hesabu sahihi ni 980000/-Kwann uzidishe na 200
Na kule juu umezidisha na 1772 au 2000
Ok mkuu shukran kwa hii elimuNi makosa, hesabu sahihi ni 980000/-
Ushauri mzuri, ni vitu vidogo ila vinagarimu..mtu anaacha bomba wazi mita inasoma tu..au maji ya kujaza ndoo moja inachukua dakika 20, mita inasoma tu..Pia Kuna kipindi maji yanakuwa hayatoki wanafungua Bomba wanaacha wazi Ili yakitoka wasikie ule upepo nao unazungusha mita.... Ama anafungua maji anayaona. Yanafoka zaidi kuliko kutoka lakini anaendelea tu kuacha yanafoka weee yanatoka kidogo yanafokaaaa yanatoka kidogo nayo hiyo inakimbiza mita.... Na pia matumizi ya maji kila saa bombani ni Bora kuwa na vifaa vya maji unajaza unatumia yakiisha unajaza Tena sio matumizi mazuri kutumia maji mara Kwa mara Moja Kwa Moja kutoka bombani ... Kingine watoto na majirani kama anawarusu kutumia Bomba.....
Nimesoma maelezo yako kuwa units 495 ni matumizi yako tangu mita ifungwe. Hiyo ni sawa.Niliwapigia simu wakaniambia hizo 495 inamaanisha ni tangu wanifungie mita ambapo ni mwaka 2022 ndio nimetumia units hizo zote. Sasa leo nalipia halafu nataka nianze kufanya monitoring mwenyewe na ninunue vile vidude vya kufunga kwenye lock