Kudoba wepo baaah
Senior Member
- May 12, 2024
- 155
- 461
Ndo shida ya kuruhusu mada za kikubwa kuchangiwa na watotoKishajua ana kiazi hana mwanaume sasa unategemea nini🤣🤣
Hawatakagi kusema neno "nisamehe". Ndo njia hiyo ya kukubali kakosea anataka msamaha.Natoka kwa hasira baada ya kunikwaza na kwenda zangu nje au mtaani kidogo kutuliza munkari. Ile narudi tu nakutana na tego la haja la msambwanda basi makosa yanasahaulika au kusamehewa hapo hapo. Hii hali siipendi maana naona kama itakuja kuniathiri huko mbele.
Msaada wehu tafadhali wadau.
Mhmm.!! 😂Hawatakagi kusema neno "nisamehe". Ndo njia hiyo ya kukubali kakosea anataka msamaha.
Wazinzi mmeamka kula daku KUMEKUCHA 😂😂😂Kuna wanawake ukiwa nao Kwenye mahusiano suala la kuachana sahau mara nyingi ukute wa kawaida lkn mnavibe sana, mzuri ana Tako lkn kila siku miyeyusho au uliedate nae Kwa mda mrefu
Mkuu mhurumie huyu mja kashaingia to what so called "manipulated man".Kula mzigo msameheane baba nanii, maisha ndio haya haya ......
Hv Kuna kitu kitamu duniani kama naniii? Kila mtu anapenda hata ww unapendi😁sijui i sijui niwekee aWazinzi mmeamka kula daku KUMEKUCHA 😂😂😂
Weka PichaMsaada wehu tafadhali wadau.
Huyo Ni mwanamke Hasa inabidi akazie aweke Shukla ndogo us kujifunika siku mkikwazana🤣Natoka kwa hasira baada ya kunikwaza na kwenda zangu nje au mtaani kidogo kutuliza munkari. Ile narudi tu nakutana na tego la haja la msambwanda basi makosa yanasahaulika au kusamehewa hapo hapo. Hii hali siipendi maana naona kama itakuja kuniathiri huko mbele.
Msaada wehu tafadhali wadau.