Naomba msaada; kila akinikosea ananitegeshea sambwanda na ugomvi unaisha!!

Hawatakagi kusema neno "nisamehe". Ndo njia hiyo ya kukubali kakosea anataka msamaha.
 
Kuna wanawake ukiwa nao Kwenye mahusiano suala la kuachana sahau mara nyingi ukute wa kawaida lkn mnavibe sana, mzuri ana Tako lkn kila siku miyeyusho au uliedate nae Kwa mda mrefu
 
Huyo Ni mwanamke Hasa inabidi akazie aweke Shukla ndogo us kujifunika siku mkikwazana🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…