Naomba msaada kimawazo kuhusu suala la jina katika akaunti ya Benki

Naomba msaada kimawazo kuhusu suala la jina katika akaunti ya Benki

SUMMARY:
Jambo liko hivi, mhitimu wa kidato cha sita wa mwaka huu 2023 baada ya kuanza kufanya maombi ya Mkopo wa chuo kikuu alifungua akaunti ya benki kama yalivyo matakwa ya Bodi ya Mkopo wa Elimu ya juu (HESLB)...
Kama NIDA walisha badili, aende mahakamani kama walivyomueleza. Ni utaratibu wa kawaida kwa Bank.
 
Back
Top Bottom