Samahani wakuu nilikuwa naomba kuuliza.. Hivi ule utaratibu wa kuandika barua kwenda TCU kwaajili ya kuondolewa kwenye system Yao pamoja na kuandika barua kupeleka bodi ya mikopo kusitisha mkopo ili uweze kuapply upya chuo pamoja na mkopo ikiwa kama ulipangiwa mwaka uliopita na hukuweza kuripoti wala kujisajili chuon.. Hivi huo utaratibu bado upo?
BRIGHT AND GENIUS EDITORS
Karibu Bright and Genius Editors tunatoa huduma zifuatazo:
1. Huduma ya kuhariri (kuedit) ripoti mbalimbali mfano za chuo n.k, propozo, vitabu, notes na barua mbalimbali.
2. Kuandika barua za kujitoa kwenye mifumo ya vyuo (Deregistration letters)
3. Kuandika barua za kuomba kazi.
4. Kuandika propozo za kuanzisha biashara au kufungua mradi.
5. Kuandika katiba za vikundi vya wajasiliamali.
6. Usafi wa majumbani, viwandani, maofisini na mashuleni.
7. Kusajili jina la biashara au kampuni
Tafadhari kama unahitaji huduma yetu tutafute kwa mawasiliano yafuatayo:
Email:
bandg.editors@gmail.com
WhatsApp: 0747744895