Naomba msaada kuhusu jini mahaba

Naomba msaada kuhusu jini mahaba

Wana vimbwanga hao. Kama mwanaume akiwa bado anamkazia huyo jinni mahaba atakufanyia kitu kibaya sana. Mwanaume mzima una lala unaota unaingiliwa nyuma na anayekuingilia anapiga mzigo kweli kweli. Ukishtuka kutoka usingizini unakuta manii kabisa sehemu ya haja kubwa.
Hao ndo wale vibwengo?
 
kanisani kwa mchungaji katunzi eagt city center,shuka stanf ya shamba ni mtoni kwa aziz ally,ukiuliza kanisani kwa mchungajibkatunzi,barabara juu inapita reli shuka hapo,stand ya shamba ukienda kwa maombi hapo jini limetoka amini usiamani maombi ni bure nenda hapo uje uniambie kama halijatoka.
 
Mkuu hongera kwa kupona
Watu wanachululia mchezo haya mambo lakini najua yanawatesa wengi mno
Nimekutumia ujumbe PM ucheck mkuu
Mimi nimeteseka nalo mika 30+ nakuelewa...tangu liondoke ni kama miezi sita hiv mpaka wakat mwingine siamin kama kweli limeondoka...unaweza nitafuta nikakuelekeza nilipoponea..
Pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu , nashindwa hata kukwambia nini naamini wewe una tatizo fulani kifikra ,
hebu tuwe na adabu kidogo
Yapo majini mahaba y'a kiume na yapenda Tigo,,,yanawaingilia wanaume kinyume na maumbile,, so mtu akizoea baadae sasa anawatafuta mabasha wa kibinadamu wamle ndogo yake,, Mkuu vip unalo nini ?

Maelezo yake ni marefu, hapa hapawezi kutosha kuandika
 
Duh umenitisha mkuu
Kama juzi limekuja na ni lizuri sana nikawa nalikataa hatimaye likanilazimisha
Likawa linanyonya mashine yangu kwa ustadi wa hali ya juu ndo nkalikubalia lakini baada ya kugombana saaaana mpaka nkanyanyua meza kulipiga linaniambia siwezi kulipiga na nikijaribu litanikomesha ,

Nilipata taabu nalo kwa kweli na linakuwaza lizuri mno aiseh

Mimi mkiristo mkuu , nataabika kinoma
Sub'hanallah!

Kiongozi! Kuota kufanya tendo la ndoa ni kitu cha kawaida ila zikizidi shituka kwani ni mojawapo ya njia ambazo anazozitumia jinni mahaba kumuingilia binadamu. Kuna stage 3 ambazo zinampitia muathirika wa jinni mahaba. Ya mwisho ambayo ni ya 3 huyo jinni mahaba kwa kupitia ndoto hizohizo unazofanya naye mapenzi anamwambia muathirika wake kwamba atamtokea kihalisi si kindoto tena ile amuone kabisa kwa macho.

Lakini hatujitokeza kwa umbile lake la kijinni bali kwa umbile la kibinadamu, atatokea kama msichana mrembo tu. Ila hiyo hatua ni mbaya kwani utakuwa unapiga mzigo kilazima.

Yote juu ya yote jinni kufanya hicho kitendo kwa binadamu ni haram. Anafanya makosa. Ushukuru Mungu asije akafika pahala akawa anampiga mke wako halafu mke wako akiamka anakuwa ni mwenye kulalamika viuongo vinamuuuma.

Mbali na hayo, wewe ni dini gani?
 
Kuna viumbe wa aina 3 wameumbwa.

Kuna Malaika, hawa waneumbwa kwa nuru.

Kuna Binadamu, wameumbwa kwa udongo.

Kuna Majinni, wameumbwa kwa moto.


Jinni si kibwengo, Majinni wanakoo 70 ki ujumla. Wanaishi mapangoni, msituni, chooni, majini, kwenye nyumba zilizokaa bila watu kwa muda mrefu na majumbani kwetu lakini ikiwa kama nyumba haifanyi hata ibada ya kumkumbuka Mungu. Majinni wanaokaa chooni ndiyo makazi yao hata kiwe choo cha namna gani. Hawa wa chooni wachawi wanawatumia katika kuwadhuru watu chooni. Ukisikia mtu kaanguka chooni akapooza mkono mara mguu ujue ndio hao. Utembeaji wao ni wa kuruka juuu kisha wanatua chini kwa kishindo.

Na majini wapo weupe sana na wengine weusi sana wengine wa bluu wengine wa kijani wengine wekundu. Katika hao wapi wenye sura mbele na nyuma mwili wao wote unawaka moto. Lakini sura zao si kama zetu, za kwao zinatisha na ni warefu sana na maumbile yao ya ajabu yenye kutisha. Naishia hapa.

Usiniulize nimejuaje.
Hao ndo wale vibwengo?
 
Itabidi niende , nakushukuru muno ,
huo ni mwanzo wa kuniponya , asante sana
kanisani kwa mchungaji katunzi eagt city center,shuka stanf ya shamba ni mtoni kwa aziz ally,ukiuliza kanisani kwa mchungajibkatunzi,barabara juu inapita reli shuka hapo,stand ya shamba ukienda kwa maombi hapo jini limetoka amini usiamani maombi ni bure nenda hapo uje uniambie kama halijatoka.
 
Sasa
Mkuu , hili tatizo lipo na huenda ni LA wengi mno lakini wengi hawasemi hukaa nayo moyoni

Nakwambia Mimi nilikuwa na assume kama wewe au zaidi yako lakini nikikusimulia private hata wewe utajua ninachomaanisha kuwa ni serious issue
Sasa mkuu unachokizungumzia hapa ni ndoto zitokanazo na yalw uliyoyajaza kichwani mwako. Ndoto ni reflection ya mawazo, imani na hofu zako. You see what you want to see and hear what you want to hear. Hayo majini yako kwenye ubongo wako. They do not have independent existence. They are not real. You create them yourself. Ndio maana ukipata ushauri nasaha na mtu wa kukutrain ubongo wako kufikiri sawasawa, hizo ndoto zinaisha. Una tatizo la kisaikolojia linalohitaji kutibiwa kisaikolojia. Hata kuombewa makanisani au misikitini inaweza kumaliza hilo tatizo, sio kwa sababu hayo maombi yamekusaidia per se. Bali kwa sababu ubongo wako unakuwa umepewa some kind of a refuge (mahali ambapo unajisikia upo salama). Hii inakusaidia kupunguza hofu hivyo ndoto nazo kupotea. Ndugu zangu huu ulimwengu upo kama ulivyo. Hakuna malicious supernatural forces zozote zinazoi"run" dunia. Nature haiwezi kujinegate yenyewe. Mambo yoote haya ya majini na mapepo mnayosikia ni psychological problems ambazo watu wanazigeuza kuwa beings with real existence. Hii si ajabu sana kwa sisi waafrika kwa sababu ndivyo tumekuwa tunauona ulimwengu tangu zama za ujima. Hata wazungu enzi za jamii za kijima (pre-scientific/primordial/ tribal/agricultural socities) walikuwa na hizi imani hivi hivi km sisi waafrika.

Hata hivyo baada ya mawndeleo ya sayansi nabteknolojia wakaja kugundua zilikuwa imani zisizokuwa na msingi. Actually sio wazungu tu, jamii zote duniani zimepitia huu uprimitive tunauoendekeza sasa waafrika. Ila wengi walishavuka hii stage siku nyingi. Ni ajabu kwamba bado waafrika wengi wameshikilia hizi imani ambazo hazina umuhimu tena katika ulimwengu huu wa leo.
 
Sasa
Sasa mkuu unachokizungumzia hapa ni ndoto zitokanazo na yalw uliyoyajaza kichwani mwako. Ndoto ni reflection ya mawazo, imani na hofu zako. You see what you want to see and hear what you want to hear. Hayo majini yako kwenye ubongo wako. They do not have independent existence. They are not real. You create them yourself. Ndio maana ukipata ushauri nasaha na mtu wa kukutrain ubongo wako kufikiri sawasawa, hizo ndoto zinaisha. Una tatizo la kisaikolojia linalohitaji kutibiwa kisaikolojia. Hata kuombewa makanisani au misikitini inaweza kumaliza hilo tatizo, sio kwa sababu hayo maombi yamekusaidia per se. Bali kwa sababu ubongo wako unakuwa umepewa some kind of a refuge (mahali ambapo unajisikia upo salama). Hii inakusaidia kupunguza hofu hivyo ndoto nazo kupotea. Ndugu zangu huu ulimwengu upo kama ulivyo. Hakuna malicious supernatural forces zozote zinazoi"run" dunia. Nature haiwezi kujinegate yenyewe. Mambo yoote haya ya majini na mapepo mnayosikia ni psychological problems ambazo watu wanazigeuza kuwa beings with real existence. Hii si ajabu sana kwa sisi waafrika kwa sababu ndivyo tumekuwa tunauona ulimwengu tangu zama za ujima. Hata wazungu enzi za jamii za kijima (pre-scientific/primordial/ tribal/agricultural socities) walikuwa na hizi imani hivi hivi km sisi waafrika.

Hata hivyo baada ya mawndeleo ya sayansi nabteknolojia wakaja kugundua zilikuwa imani zisizokuwa na msingi. Actually sio wazungu tu, jamii zote duniani zimepitia huu uprimitive tunauoendekeza sasa waafrika. Ila wengi walishavuka hii stage siku nyingi. Ni ajabu kwamba bado waafrika wengi wameshikilia hizi imani ambazo hazina umuhimu tena katika ulimwengu huu wa leo.
Hujui ulisemalo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heri ya mwaka wa 2019 wanabodi
Naomba Uzi huu tuujadili kwa kuzingatia kuwa mnasaidia MTU ni muhimu sana .

Jini mahaba linanisumbua sana, limesumbua ndoa yangu mpaka kutengana , limeharibu maisha yangu kiuchumi baada ya kuoa nikarudi sifuri kabisa.

Naomba kuuliza jinsi ya kulifukuza milele kabisa.

Nimegundua nimeshachelewa baada ya kuuliza sehemu mbalimbali kwa kuwa:

1. Usiku linanilazimisha nisex nalo kila siku , na tukimaliza sex nikiamka nakuta nimemwaga manii sana kitandani na kwenye boxer

2. Linanitokea kila Mara na halitaki niwe na mke.

3. Baada ya kuoa maisha yalivurugika , uchumi ukashuka sana , mikosi na mabalaa yote kwangu ,nikafukuzwa kazi mpaka mke tukatengana

Naomba sana wajuzi waniambie nifanyeje , anayejua msaada naomba anifuate inbox ,nateseka sana .

Tafadhali nawasilisha
Ruqyah ndiyo tiba sahihi kabisa.

Soma zaidi: Taratibu Za Ruqyah Na Yapasayo Kufanywa Kabla Ya Kusoma Ruqyah | Alhidaaya.com
 
Sub'hanallah!

Kiongozi! Kuota kufanya tendo la ndoa ni kitu cha kawaida ila zikizidi shituka kwani ni mojawapo ya njia ambazo anazozitumia jinni mahaba kumuingilia binadamu. Kuna stage 3 ambazo zinampitia muathirika wa jinni mahaba. Ya mwisho ambayo ni ya 3 huyo jinni mahaba kwa kupitia ndoto hizohizo unazofanya naye mapenzi anamwambia muathirika wake kwamba atamtokea kihalisi si kindoto tena ile amuone kabisa kwa macho.

Lakini hatujitokeza kwa umbile lake la kijinni bali kwa umbile la kibinadamu, atatokea kama msichana mrembo tu. Ila hiyo hatua ni mbaya kwani utakuwa unapiga mzigo kilazima.

Yote juu ya yote jinni kufanya hicho kitendo kwa binadamu ni haram. Anafanya makosa. Ushukuru Mungu asije akafika pahala akawa anampiga mke wako halafu mke wako akiamka anakuwa ni mwenye kulalamika viuongo vinamuuuma.

Mbali na hayo, wewe ni dini gani?
Mkristo huyu jamaa...aende tu makanisani kwao huenda atapata msaada..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio elimu hyo ya majini...
Kuna viumbe wa aina 3 wameumbwa.

Kuna Malaika, hawa waneumbwa kwa nuru.

Kuna Binadamu, wameumbwa kwa udongo.

Kuna Majinni, wameumbwa kwa moto.


Jinni si kibwengo, Majinni wanakoo 70 ki ujumla. Wanaishi mapangoni, msituni, chooni, majini, kwenye nyumba zilizokaa bila watu kwa muda mrefu na majumbani kwetu lakini ikiwa kama nyumba haifanyi hata ibada ya kumkumbuka Mungu. Majinni wanaokaa chooni ndiyo makazi yao hata kiwe choo cha namna gani. Hawa wa chooni wachawi wanawatumia katika kuwadhuru watu chooni. Ukisikia mtu kaanguka chooni akapooza mkono mara mguu ujue ndio hao. Utembeaji wao ni wa kuruka juuu kisha wanatua chini kwa kishindo.

Na majini wapo weupe sana na wengine weusi sana wengine wa bluu wengine wa kijani wengine wekundu. Katika hao wapi wenye sura mbele na nyuma mwili wao wote unawaka moto. Lakini sura zao si kama zetu, za kwao zinatisha na ni warefu sana na maumbile yao ya ajabu yenye kutisha. Naishia hapa.

Usiniulize nimejuaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom