Naomba msaada kuhusu jini mahaba

Naomba msaada kuhusu jini mahaba

Heri ya mwaka wa 2019 wanabodi
Naomba Uzi huu tuujadili kwa kuzingatia kuwa mnasaidia MTU ni muhimu sana .

Jini mahaba linanisumbua sana, limesumbua ndoa yangu mpaka kutengana , limeharibu maisha yangu kiuchumi baada ya kuoa nikarudi sifuri kabisa.

Naomba kuuliza jinsi ya kulifukuza milele kabisa.

Nimegundua nimeshachelewa baada ya kuuliza sehemu mbalimbali kwa kuwa:

1. Usiku linanilazimisha nisex nalo kila siku , na tukimaliza sex nikiamka nakuta nimemwaga manii sana kitandani na kwenye boxer

2. Linanitokea kila Mara na halitaki niwe na mke.

3. Baada ya kuoa maisha yalivurugika , uchumi ukashuka sana , mikosi na mabalaa yote kwangu ,nikafukuzwa kazi mpaka mke tukatengana

Naomba sana wajuzi waniambie nifanyeje , anayejua msaada naomba anifuate inbox ,nateseka sana .

Tafadhali nawasilisha
Kuwa unakula kitimoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kaombewe. Hilo ni jini/pepo. Usisanganyike na mambo mengine. Nenda kanisa la watu waliookoka kawaeleze unaombewa linatoka na kuanzia hapo itakubidi uokoke.

Njia nyingine hazitakufaa maana watalituliza tu au watalipandishia kubwa zaidi ambalo hilo ndo litalituliza ulilo nalo but hilo kubwa litakuwa na jambo lingine.nakwambia TU NENDA KAOMBEWE KWA WALOKOLE LIONDOLEWE. watu wengine MAJINI NI SEHEMU YA NDUGU ZAO HAWAWEZI KUKUSAIDIA. NENDA KANISA LA WALOKOLE WA KWELI KWELI.
 
Acheni ujinga nyie. Mambo ya dark ahges haya. Mambo ya kijima. Mkuu huna tatizo lolote zaidi ya hofu isiyokuwa na msingi. Irrational fear inakufanya uone, usikie, kugusa, n.k vitu ambavyo havipo. Shinda hofu yako na yote unayohisi yanakikumba yatakwisha!
Acha ujinga na Wewe SI kila mtu Ni mjinga we jamaa,HAYO MADUBWASHA YAPO NA YANASUMBUA SANA TU YAKIKUZOEA UNAYA KANDAMIZIA na YANAKUKANDAMIZIA MUDA WOWOTE YAKITAKA HATA MCHANA OFISIN,BARABARANI,POPOTE UNAKUTA MTU HANA KIFAFA LAKINI ANAANGUKA GHAFLA KAMA KIFAFA HAPO NDO MKANDAMIZO UNATENDEKA
 
Nenda kaombewe. Hilo ni jini/pepo. Usisanganyike na mambo mengine. Nenda kanisa la watu waliookoka kawaeleze unaombewa linatoka na kuanzia hapo itakubidi uokoke.

Njia nyingine hazitakufaa maana watalituliza tu au watalipandishia kubwa zaidi ambalo hilo ndo litalituliza ulilo nalo but hilo kubwa litakuwa na jambo lingine.nakwambia TU NENDA KAOMBEWE KWA WALOKOLE LIONDOLEWE. watu wengine MAJINI NI SEHEMU YA NDUGU ZAO HAWAWEZI KUKUSAIDIA. NENDA KANISA LA WALOKOLE WA KWELI KWELI.
HAWANA UWEZO HUO NI MBWEMBWE TU NA MIKELELE ISIYO NA MSINGI
 
MWAMINI YESU TUBU DHAMBI,HAYO MAPEPO NA MAJINI HAYATA PATA NAFASI TENA..TAFUTA KANISA LENYE MCHUNGAJI WA KWELI MWENYE NGUVU ZA MUNGU ATAKUSAIDI....UNAWEZA KUJA PM UKIHITAJI MSAADA ZAIDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom