Naomba msaada kwa wenye usafiri wa kwenda Bukoba kesho.

Mungu akufanyie njia Mkuu
Mungu akuinulie msaada.

Nadhani ni vema ungesema upo mkoa gani? Unaenda Bukoba Ukitokea wapi? Na je Interview ni lini?

Na swala la kurudi je? Utarudii vipi

Neema ya Bwana iwe juu yako
 
ila nn mkuu kila k2 kitakaa xawa mana naona mwanga kwenye njia yako
 
Wakuu nimeitwa Usaili Bukoba , baada ya kusambaza CV yangu Ila changamoto nilionayo ni nauli tu.

Kama unaweza nisapoti lift nitashukuru Sana .

Au Kwa namna yoyote ile.
ukiwa na Jambo linalohitaji msaada usijiangalia ww,Angalia watu wanaokusaidia watapokeaje ujumbe wako hatujui uko wapi,interview lini?,Utarudije?Umejipangaje ikitojea hitilafu njiani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…