peni yangu maisha yangu Member Joined Apr 20, 2024 Posts 56 Reaction score 117 Jan 13, 2025 #1 Wakuu nimeitwa Usaili Bukoba , baada ya kusambaza CV yangu Ila changamoto nilionayo ni nauli tu. Kama unaweza nisapoti lift nitashukuru Sana . Au Kwa namna yoyote ile.
Wakuu nimeitwa Usaili Bukoba , baada ya kusambaza CV yangu Ila changamoto nilionayo ni nauli tu. Kama unaweza nisapoti lift nitashukuru Sana . Au Kwa namna yoyote ile.
peni yangu maisha yangu Member Joined Apr 20, 2024 Posts 56 Reaction score 117 Jan 13, 2025 Thread starter #2 Wakuu natarajia mnisapoti Kwa hili swala.
realMamy JF-Expert Member Joined Apr 28, 2024 Posts 3,925 Reaction score 8,853 Jan 13, 2025 #3 peni yangu maisha yangu said: Wakuu natarajia mnisapoti Kwa hili swala. Click to expand... Unaomba au unatarajia? Hujaeleza unaomba lift kutoka wapi kwenda Bukoba.
peni yangu maisha yangu said: Wakuu natarajia mnisapoti Kwa hili swala. Click to expand... Unaomba au unatarajia? Hujaeleza unaomba lift kutoka wapi kwenda Bukoba.
peni yangu maisha yangu Member Joined Apr 20, 2024 Posts 56 Reaction score 117 Jan 13, 2025 Thread starter #4 realMamy said: Unaomba au unatarajia? Hujaeleza unaomba lift kutoka wapi kwenda Bukoba. Click to expand... Nipo dar mkuu
realMamy said: Unaomba au unatarajia? Hujaeleza unaomba lift kutoka wapi kwenda Bukoba. Click to expand... Nipo dar mkuu
makutupora JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 2,089 Reaction score 4,086 Jan 13, 2025 #5 Mungu akufanyie njia Mkuu Mungu akuinulie msaada. Nadhani ni vema ungesema upo mkoa gani? Unaenda Bukoba Ukitokea wapi? Na je Interview ni lini? Na swala la kurudi je? Utarudii vipi Neema ya Bwana iwe juu yako
Mungu akufanyie njia Mkuu Mungu akuinulie msaada. Nadhani ni vema ungesema upo mkoa gani? Unaenda Bukoba Ukitokea wapi? Na je Interview ni lini? Na swala la kurudi je? Utarudii vipi Neema ya Bwana iwe juu yako
ZINJANTHROPAZ JF-Expert Member Joined Aug 6, 2023 Posts 287 Reaction score 470 Jan 13, 2025 #6 ila nn mkuu kila k2 kitakaa xawa mana naona mwanga kwenye njia yako
Mkanganyiko kukanganya JF-Expert Member Joined Jun 26, 2022 Posts 1,204 Reaction score 5,053 Jan 13, 2025 #7 Kila la kheri mkuu
G Gusa achia twende kwao JF-Expert Member Joined Jan 3, 2025 Posts 248 Reaction score 287 Jan 13, 2025 #8 peni yangu maisha yangu said: Wakuu nimeitwa Usaili Bukoba , baada ya kusambaza CV yangu Ila changamoto nilionayo ni nauli tu. Kama unaweza nisapoti lift nitashukuru Sana . Au Kwa namna yoyote ile. Click to expand... ukiwa na Jambo linalohitaji msaada usijiangalia ww,Angalia watu wanaokusaidia watapokeaje ujumbe wako hatujui uko wapi,interview lini?,Utarudije?Umejipangaje ikitojea hitilafu njiani?
peni yangu maisha yangu said: Wakuu nimeitwa Usaili Bukoba , baada ya kusambaza CV yangu Ila changamoto nilionayo ni nauli tu. Kama unaweza nisapoti lift nitashukuru Sana . Au Kwa namna yoyote ile. Click to expand... ukiwa na Jambo linalohitaji msaada usijiangalia ww,Angalia watu wanaokusaidia watapokeaje ujumbe wako hatujui uko wapi,interview lini?,Utarudije?Umejipangaje ikitojea hitilafu njiani?