Naomba msaada namna ya kujitoa chama cha waalimu Tanzania (CWT)

Naomba msaada namna ya kujitoa chama cha waalimu Tanzania (CWT)

Wewe unapoteza muda wako bure. Najua shida yako ni kwamba uachwe kukatwa 2%. Kila idara ina chama chake cha wafanyakazi na hairuhusiwi kuwa na vyama viwili vya wafanyakazi idara moja. Kama umechoka na cwt nenda kasome sheria uungane na akina tundu lissu tls au jiunge na chama cha madaktari cha akina ulimboka.
Sijawahi kuona chama kinachofanya kazi Tanzania kama cwt na sijawahi kuona chama chenye maendeleo kama cwt na sijawahi kuona chama kinachopigwa mawe na wanachama wake kama cwt?.
Wana vitega uchumi vya adabu kila mkoa na wameanzisha benki ambayo tayari inafanya kazi wamebaki kusupplly matawi nchi nzima tu tena kwenye majengo yao si ya kupanga.
Hata nmb ni benki kubwa lakini haina asset kama za benki ama Cwt.
Haraka ya wanachama na uelewa mdogo wa members utakigharimu chama baadaye kwani uongozi si jambo jepesi.
Wakati ukifika hata wewe unayetamani kutoka utatamani urudi tena wakati ambapo meli itakua imengoa nanga. Mwisho utabaki kufa na uzazi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unapoteza muda wako bure. Najua shida yako ni kwamba uachwe kukatwa 2%. Kila idara ina chama chake cha wafanyakazi na hairuhusiwi kuwa na vyama viwili vya wafanyakazi idara moja. Kama umechoka na cwt nenda kasome sheria uungane na akina tundu lissu tls au jiunge na chama cha madaktari cha akina ulimboka.
Sijawahi kuona chama kinachofanya kazi Tanzania kama cwt na sijawahi kuona chama chenye maendeleo kama cwt na sijawahi kuona chama kinachopigwa mawe na wanachama wake kama cwt?.
Wana vitega uchumi vya adabu kila mkoa na wameanzisha benki ambayo tayari inafanya kazi wamebaki kusupplly matawi nchi nzima tu tena kwenye majengo yao si ya kupanga.
Hata nmb ni benki kubwa lakini haina asset kama za benki ama Cwt.
Haraka ya wanachama na uelewa mdogo wa members utakigharimu chama baadaye kwani uongozi si jambo jepesi.
Wakati ukifika hata wewe unayetamani kutoka utatamani urudi tena wakati ambapo meli itakua imengoa nanga. Mwisho utabaki kufa na uzazi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakuwa miongoni mwa majizi ya CWT
 
Wewe utakuwa miongoni mwa majizi ya CWT
Hata tunapoisifia tls ambayo viongozi wake wanahangaika kutwa kuteswa na serikali hii wakidai haki zao tunakuwa majizi.
Huna hoja ya msingi ungekuwa nayo ungeileta hapa tukujibu. Pia chama kina ofisi mpaka shuleni kwako umeshindwa kupeleka huko wakusaidie unaleta hapa mtandaoni bado unajiita msomi.
Endelea kuniita mimi jizi lakini ukifanikisha kujitoa leta mrejesho hapa.
Tatizo ni uelewa wako mdogo kuhusu sheria za kazi duniani na vyama vya wafanyakazi. Sheria zinazoongoza chama cha walimu siyo sheria za cwt bali sheria za vyama vyote duniani ktk nchi zote na Tanzania ikiwemo.
Pia nakushauri uwe msomaji wa makala mbalimbali maana nakuona upo gizani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unapoteza muda wako bure. Najua shida yako ni kwamba uachwe kukatwa 2%. Kila idara ina chama chake cha wafanyakazi na hairuhusiwi kuwa na vyama viwili vya wafanyakazi idara moja. Kama umechoka na cwt nenda kasome sheria uungane na akina tundu lissu tls au jiunge na chama cha madaktari cha akina ulimboka.
Sijawahi kuona chama kinachofanya kazi Tanzania kama cwt na sijawahi kuona chama chenye maendeleo kama cwt na sijawahi kuona chama kinachopigwa mawe na wanachama wake kama cwt?.
Wana vitega uchumi vya adabu kila mkoa na wameanzisha benki ambayo tayari inafanya kazi wamebaki kusupplly matawi nchi nzima tu tena kwenye majengo yao si ya kupanga.
Hata nmb ni benki kubwa lakini haina asset kama za benki ama Cwt.
Haraka ya wanachama na uelewa mdogo wa members utakigharimu chama baadaye kwani uongozi si jambo jepesi.
Wakati ukifika hata wewe unayetamani kutoka utatamani urudi tena wakati ambapo meli itakua imengoa nanga. Mwisho utabaki kufa na uzazi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Toa ushauri jinsi ya kujitoa...ndiyo hoja iliyoko mezani.Anzisha uzi mwingine wa kuelezea faida za CWT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kujitoa CWT. Lakini huwezi acha kukatwa 02% ya mshahara wako.

Njia ya kuwakomoa ni kuhamia chama kingine cha walimu.

Ili makato ya 2% yasiende CWT yaende chama hicho.

Njia ya kuhama CWT nenda halimashauri uombe fomu ya kujisajiri (inaitwa TUG 5 kama sijakosea) chama cha wafanyakazi jisajiri chama kingine peleka kwa afisa utumishi.

Akiingiza data pesa inasita kwenda CWT inaenda chama Kingine.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unapoteza muda wako bure. Najua shida yako ni kwamba uachwe kukatwa 2%. Kila idara ina chama chake cha wafanyakazi na hairuhusiwi kuwa na vyama viwili vya wafanyakazi idara moja. Kama umechoka na cwt nenda kasome sheria uungane na akina tundu lissu tls au jiunge na chama cha madaktari cha akina ulimboka.
Sijawahi kuona chama kinachofanya kazi Tanzania kama cwt na sijawahi kuona chama chenye maendeleo kama cwt na sijawahi kuona chama kinachopigwa mawe na wanachama wake kama cwt?.
Wana vitega uchumi vya adabu kila mkoa na wameanzisha benki ambayo tayari inafanya kazi wamebaki kusupplly matawi nchi nzima tu tena kwenye majengo yao si ya kupanga.
Hata nmb ni benki kubwa lakini haina asset kama za benki ama Cwt.
Haraka ya wanachama na uelewa mdogo wa members utakigharimu chama baadaye kwani uongozi si jambo jepesi.
Wakati ukifika hata wewe unayetamani kutoka utatamani urudi tena wakati ambapo meli itakua imengoa nanga. Mwisho utabaki kufa na uzazi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vyama vya walimu kwa maana ya trade union ziko zaidi ya mmoja. Kwa taarifa kunawengi tu hawakatwi CWT wakatwa vyama vingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unapoteza muda wako bure. Najua shida yako ni kwamba uachwe kukatwa 2%. Kila idara ina chama chake cha wafanyakazi na hairuhusiwi kuwa na vyama viwili vya wafanyakazi idara moja. Kama umechoka na cwt nenda kasome sheria uungane na akina tundu lissu tls au jiunge na chama cha madaktari cha akina ulimboka.
Sijawahi kuona chama kinachofanya kazi Tanzania kama cwt na sijawahi kuona chama chenye maendeleo kama cwt na sijawahi kuona chama kinachopigwa mawe na wanachama wake kama cwt?.
Wana vitega uchumi vya adabu kila mkoa na wameanzisha benki ambayo tayari inafanya kazi wamebaki kusupplly matawi nchi nzima tu tena kwenye majengo yao si ya kupanga.
Hata nmb ni benki kubwa lakini haina asset kama za benki ama Cwt.
Haraka ya wanachama na uelewa mdogo wa members utakigharimu chama baadaye kwani uongozi si jambo jepesi.
Wakati ukifika hata wewe unayetamani kutoka utatamani urudi tena wakati ambapo meli itakua imengoa nanga. Mwisho utabaki kufa na uzazi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
weee kiongozi nini? na mnafaika mnaozipiga hela za wanachama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom