Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ktk kudai haki chakamwata hawana akidi ya members hadi wasikilizwe na mwajiri yaani hawawezi kujadiliana na mwajiri na hawezi kuwasikiliza. Tangu umeanza kukisikia ni lini uliwaona wakiitisha na hata mkutano kuongea na serikali ama vikao. Kama upo useme ulete na picha hapa.Tanzania kuna CWT Na CHAKAMWATA ,kusema hairuhusiwi vyama viwili kidogo ninapata shida kukuelewa
Unavosema CHAKAMWATA Haina chochote yaani hata Jengo unataka kumaanisha CWT ilibidi iwe Na vitu vingi sana pia makato yangeshuka kabisa Na ingebidi tuwe tunapata gawio?Ktk kudai haki chakamwata hawana akidi ya members hadi wasikilizwe na mwajiri yaani hawawezi kujadiliana na mwajiri na hawezi kuwasikiliza. Tangu umeanza kukisikia ni lini uliwaona wakiitisha na hata mkutano kuongea na serikali ama vikao. Kama upo useme ulete na picha hapa.
Hiyo chakamwata sawa ipo lakini kutwa kucha ofisi imefungwa wanaingia na kutoka kama panya.
Ofisi nchi nzima michango yote wanapeleka wapi washindwe kuwa hata na jengo la milioni 20 tu.
Lazima mbeleni walimu mtalizwa tu na hawa chakamwata mwendo wao unatia shaka. Ofisi yao walipopanga ni hapa![]()
Ni vema ukajua hivyo vitega uchumi vinazalisha shilingi ngapi kwa mwezi. Moja ya faida ya vitega uchumi ni udhamini kwa chama, pili mgawo wa hisa kwa walimu ni sehemu ya pesa hizo.mkuu vitega uchumi vyote ivyo. je walimu wanapata mgawo wa uwekezaji wao?
Cwt inakusanya mapato sawa na chakamwata. Inachokusanya cwt matumizi yako wazi na yanaonekana kama uwekezaji na mengineyo.Unavosema CHAKAMWATA Haina chochote yaani hata Jengo unataka kumaanisha CWT ilibidi iwe Na vitu vingi sana pia makato yangeshuka kabisa Na ingebidi tuwe tunapata gawio?
Hiyo CWT ni lini imewahi kukutetea wewe ikafanikiwa? Kama kweli CWT inawatetea walimu Na inasikilizwa wadai walimu walioshushwa madaraja walipwe kuanzia pale Barua Za awali zilipoonyesha kuwa wamepanda madaraja.
CWT uongozi wake una element Za kupangwa Na Serikali ,refer uchaguzi wa mwaka huu.
CWT kuna majungu,refer Oluoch alitetewa Na CWT au CWT ilishindwa kabisa kumtetea?
Bora watu wakaibiwe Asilimia Moja Na Chakamwata kuliko kuibiwa asilimia mbili Na CWT.
Cwt ni walaji tu twmbieni mnachofanyia hela za wanachama, halafu kitendo cha kukata pesa bila mtu kujiunga sio ungwana ni ujambazi mnafanya tuKwa nyongeza ujue kuwa serikali haipendi vyama vya wafanyakazi kwa kuwa ni kero kwake hivyo hutumia mbinu ya mgawe umtawale. Tls wanapambana na serikali hadi walitaka kupandikiza viongozi wao ikawa ngumu ndivyo inavyofanyika kwa vyama vyote.
Inafikia wanaunda chama kingine ili kudhoofisha chenye nguvu kama chakamwata ilivyoundwa na serikali ya ccm.
Kuwa kiongozi wa chama cha wafanyakazi ni risk kubwa sana. Wapo viongozi wa vyama wanawasaliti wanachama kwa kuahidiwa vyeo serikalini na mengineyo. Nina ushahidi na uhakika wazi kuwa chakamwata ipo kwa ajili ya kudhoofisha maendeleo ya walimu kama ambavyo serikali inahangaika kuiua Tls.
Chaguzi nyingi za vyama serikali inahaha kupenyeza watu wao ili waweze kuua vyama hivyo na wengi hutokea usalama wa taifa.
Chakamwata siwapigi Vita ila ukweli ndiyo huo ninyi ni tawi la ccm na wapinzani wa haki za walimu maana mmeungana na ibilisi baada ya kuingia kwenye lindo Lake bila kujua.
Ni vema cwt ifutwe,vinginevyo, kuna siku walimu watapigana wewe kwa weweWewe utakuwa miongoni mwa majizi ya CWT
Pesa yoyote ya chama ina mgawanyiko mwingi si ktk cwt bali vyama vyote.Cwt ni walaji tu twmbieni mnachofanyia hela za wanachama, halafu kitendo cha kukata pesa bila mtu kujiunga sio ungwana ni ujambazi mnafanya tu
Hakuna chama kilichokamilika asilimia 100%.Tambua hata cwt ina mapungufu yake lakini si kwa kiwango cha kumfanya mwanachama ajiondoe.MLA PANYA SWANGA HIVI SHERIA ZA VYAMA VYA WAFANYAKAZI UNAZIJUA AU UNATETEA TUMBO TU?
KISHERIA:
1. MFANYAKAZI ANARUHUSIWA KUJIUNGA NA CHAMA CHOCHOTE CHA WAFANYAKAZI KILICHOSAJILIWA, HVYO SYO LAZIMA MWALIMU KUJIUNGA CWT, ANAWEZA KWENDA TUGHE, TALGWU, TUICO etc.
2. SIYO LAZIMA KUWA MWANACHAMA WA CHAMA CHA WAFANYAKAZI
3. UNARUHUSIWA KUJIONDOA UANACHAMA KWA KUANDIKA BARUA KWA CHAMA NA MWAJIRI NA MAKATO YANASITISHWA MANA NI JAMBO LA HIYARI.
KAMA MNGEKUWA MNAWATENDEA HAKI WANACHAMA WENU WASNGELILIA KUJIONDOA, BADILIKENI.
MWISHO:
HV SWANGA WANAKULA PANYA? UCHAWI MMEACHA? WASALIMIE MSENGEZI.
Na kuhonga vyeo kwa mademu wao wanavuruga taratibu za chaguzi walaaniweHuyo Oluoch kafukuzwa kazi CWT hawajamtetea.Itakuwa mwalimu wa kawaida.CWT ni wezi Na Fitina nyingi plus rushwa
Mwanzoni ulianza kusema hairuhusiwi kujitoa na ndiyo mbinu mnayotumiaga CWT kuwadanganya walimu.Baada ya kuona watu kumbe Wana uelewa naona unabadili gia anganiHakuna chama kilichokamilika asilimia 100%.Tambua hata cwt ina mapungufu yake lakini si kwa kiwango cha kumfanya mwanachama ajiondoe.
Ukifanya comparison ya vyama vya wafanyakazi Tanzania utajua kuwa cwt is a leading party.
Kwani hata huko atakakohamia hakuti mapungufu?.
Pia most of them wanawaogopa viongozi wao hata walio ktk sehemu ya kazi sasa utawasaidiaje hao.
Sumbawanga bado twala panya mkuu hiyo ni jadi yetu. Pia yale masuala mengine pia tunashiriki ni ulinzi wa jadi wa asili lazima ufanye patrol.
Kuna watu hawana nidhamu ktk jamii hivyo lazima tufanye restoration [emoji16]![]()
![]()
![]()
Karibu sumbawanga utakuwa salama mno.
Hayo yote uliyosema kuwa kuna hela ya vikao misiba sawa tunajua yapo lakini ukiweka katika namba ndio yanaeleweka zaidi.Yaani kujua chama kina sh ngapi,kimetumia sh ngapi kwenye nini,kuweka mchanganuo in terms of numbers kila mwaka Na kupeleka.mrejesho kituoni.Sasa kama hakuna mrejesho wa hayo mambo in terms of numbers kwanini watu wasifikirie kujitoaPesa yoyote ya chama ina mgawanyiko mwingi si ktk cwt bali vyama vyote.
Chaguzi zote ni pesa, uwekezaji, tucta wanapewa aslimia yao unadhani wanatoa pesa wapi wakati ni jumuiya ya vyama vyote, kuna pesa za ukimwi ni siri ila mhusika anajua kisheria, uendeshaji mikutano na wanachama, kuna pesa mahali pa kazi vikao kila baada ya miezi mitatu mnaletewa mnatumia, wastaafu, misiba ya walimu kufa na kufiwa wategemezi misaada hutolewa, kusimamia kesi za walimu gharama za mawakili kisheria zinatolewa na chama, kukarimu wageni mbalimbali.
Sasa wewe unayelalamika humu mitandaoni ulishawahi enda kwa katibu wako wilaya au mwakilishi wako mahali pa kazi umuulize haya kama ni ya uongo au kweli?.
Ujue pesa ya mmoja ni ndogo sana ila inaonekana nyingi kwa sababu ya uwingi wa wanachama ndiyo maana kauli mbiu ya benki ya walimu mwalimu commercial Bank inasema " we are better together "
Hakuna kitu ambacho walimu wanajivunia kwa sasa kama uwepo wa benki maana mikopo inatolewa kwa 17% riba na ni reducing wakati benki inayotoa riba ndogo kuliko zote ni 19.2% na ni Equity tu. Sasa hamtaki kukopa kwa riba ndogo bali mmekalia kuiponda cwt. Hivi hapa Tanzania ni chama kipi chenye benki ya kwake zaidi ya cwt.
Ktk benki zinazoongoza kuuza hisa cwt ni ya pili kutoka crdb that's means iko stable.
Hakuna katibu wa cwt aliye mzembe kiasi asijibu hoja zako vizuri. Tatizo ni pale mnapojiweka mnajua mahesabu kuliko hata wahasibu wa Tia.
Mimi nitakuwekea future zote hizo kwa moja ya wilaya Tanzania ujue yanafanyika.Hayo yote uliyosema kuwa kuna hela ya vikao misiba sawa tunajua yapo lakini ukiweka katika namba ndio yanaeleweka zaidi.Yaani kujua chama kina sh ngapi,kimetumia sh ngapi kwenye nini,kuweka mchanganuo in terms of numbers kila mwaka Na kupeleka.mrejesho kituoni.Sasa kama hakuna mrejesho wa hayo mambo in terms of numbers kwanini watu wasifikirie kujitoa
Acheni vitisho unafikiri CWT ndiyo watasolve hayo matatizo mtu akipata.Kuna watu wamepata matatizo Na CWT haikutoa msaada wowote .Ndio maana walimu wanalalamika wamekutana Na mengi hawajapata msaada wowoteSiku ukipata matatizo kazin ndyo utajua muhimu WA cwt
Hata mwakilishi wako mahali pa kazi kama haleti taarifa hizo tupa pembeni weka mwingine.Hayo yote uliyosema kuwa kuna hela ya vikao misiba sawa tunajua yapo lakini ukiweka katika namba ndio yanaeleweka zaidi.Yaani kujua chama kina sh ngapi,kimetumia sh ngapi kwenye nini,kuweka mchanganuo in terms of numbers kila mwaka Na kupeleka.mrejesho kituoni.Sasa kama hakuna mrejesho wa hayo mambo in terms of numbers kwanini watu wasifikirie kujitoa
Wawakilishi nyie huko wilayani sijui Huwa mnawapa nini.Mwanzoni anakuwa mwanaharakati mwenzenu mpigania haki Za walimu mkishamchagua unakuta naye kawa upande wa kukandamiza haleti mrejesho wowote.Bahati Nzuri wengine Ofisi Za CWT wilaya zipo Jirani mara kwa mara tunafika kule.Kwa kweli kuna wakati unaona Bora uende kwa Afisa Elimu mtaelewana siyo CWT.Majibu yamejaa siasa Na kujifanya wapo busy.Hata mwakilishi wako mahali pa kazi kama haleti taarifa hizo tupa pembeni weka mwingine.
Aina ya wawakilishi mnaochagua mahala pa kazi nao waweza kuwa tatizo kwa kukaa na taarifa mikononi.