Naomba msaada namna ya kujitoa chama cha waalimu Tanzania (CWT)

Naomba msaada namna ya kujitoa chama cha waalimu Tanzania (CWT)

Wewe unapoteza muda wako bure. Najua shida yako ni kwamba uachwe kukatwa 2%. Kila idara ina chama chake cha wafanyakazi na hairuhusiwi kuwa na vyama viwili vya wafanyakazi idara moja. Kama umechoka na cwt nenda kasome sheria uungane na akina tundu lissu tls au jiunge na chama cha madaktari cha akina ulimboka.
Sijawahi kuona chama kinachofanya kazi Tanzania kama cwt na sijawahi kuona chama chenye maendeleo kama cwt na sijawahi kuona chama kinachopigwa mawe na wanachama wake kama cwt?.
Wana vitega uchumi vya adabu kila mkoa na wameanzisha benki ambayo tayari inafanya kazi wamebaki kusupplly matawi nchi nzima tu tena kwenye majengo yao si ya kupanga.
Hata nmb ni benki kubwa lakini haina asset kama za benki ama Cwt.
Haraka ya wanachama na uelewa mdogo wa members utakigharimu chama baadaye kwani uongozi si jambo jepesi.
Wakati ukifika hata wewe unayetamani kutoka utatamani urudi tena wakati ambapo meli itakua imengoa nanga. Mwisho utabaki kufa na uzazi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo vitega uchumi vinawasaidiaje walimu ? Kujitoa inawezekana , hiko chama sio cha taalumu
 
Wawakilishi nyie huko wilayani sijui Huwa mnawapa nini.Mwanzoni anakuwa mwanaharakati mwenzenu mpigania haki Za walimu mkishamchagua unakuta naye kawa upande wa kukandamiza haleti mrejesho wowote.Bahati Nzuri wengine Ofisi Za CWT wilaya zipo Jirani mara kwa mara tunafika kule.Kwa kweli kuna wakati unaona Bora uende kwa Afisa Elimu mtaelewana siyo CWT.Majibu yamejaa siasa Na kujifanya wapo busy.
Baada ya kuona Mwakilishi yupo busy tukawa tunamuomba kiongozi yeyote wa wilaya atutembelee hasa Katibu tawini kwetu.Lakini miaka yote miwili wanasema wapo busy.
Sasa wapo busy kwa ajili ya Nani.
Halafu pia CWT kuna matabaka
Kwa hiyo hata wewe ukichaguliwa utabadilika maana unadai huwa mwanzoni wako vizuri lakini baadaye tunawabadilisha.
Sasa nakushauri gombea nafasi ni nyingi sana uza sera kwa hoja utachaguliwa.
Kulikuwa na baadhi ya makatibu wazembe wasiowatembelea wanachama na kujua kero zao wameonywa na wengine kupewa majukumu mengine yanayowafaa.
Ukweli cwt iko vizuri mkuu.
 
Hivyo vitega uchumi vinawasaidiaje walimu ? Kujitoa inawezekana , hiko chama sio cha taalumu
Hilo nimeshajibia tayari. Ukitaka mengine zaidi nenda kwa katibu wako wa chama atakusaidia zaidi huko ndiko utapata mapato na matumizi yote ikiwa mwakilishi hakuletei.
 
Kwa hiyo hata wewe ukichaguliwa utabadilika maana unadai huwa mwanzoni wako vizuri lakini baadaye tunawabadilisha.
Sasa nakushauri gombea nafasi ni nyingi sana uza sera kwa hoja utachaguliwa.
Kulikuwa na baadhi ya makatibu wazembe wasiowatembelea wanachama na kujua kero zao wameonywa na wengine kupewa majukumu mengine yanayowafaa.
Ukweli cwt iko vizuri mkuu.
Siyo kila mtu ana karama ya kuongoza
 
Kwa hiyo hata wewe ukichaguliwa utabadilika maana unadai huwa mwanzoni wako vizuri lakini baadaye tunawabadilisha.
Sasa nakushauri gombea nafasi ni nyingi sana uza sera kwa hoja utachaguliwa.
Kulikuwa na baadhi ya makatibu wazembe wasiowatembelea wanachama na kujua kero zao wameonywa na wengine kupewa majukumu mengine yanayowafaa.
Ukweli cwt iko vizuri mkuu.
Hao makatibu wa wilaya ni kama Miungu fulani.Nilishuhudia Katibu anawaingiza mjini walimu waliokuwa wanadai mishahara yao.Mwanzoni alianza nao sawa wakisapotiana.Alipofanikiwa kukaa kikao yeye Katibu,Afisa Elimu Na Mkurugenzi kilichofuata ni Katibu kuwatoroka walimu Na kuongeza ugumu katika kufuatilia suala lao.Walimu baada ya kuona CWT imeungana Na mwajiri wakakata shauri walimu wenyewe wakajiorganize wakaenda Hazina Dar wakafuatilia mambo yao,withini one month mambo yakawa super .Sasa walimu kama Hawa wataipenda CWT inayowahujumu?
 
Hao makatibu wa wilaya ni kama Miungu fulani.Nilishuhudia Katibu anawaingiza mjini walimu waliokuwa wanadai mishahara yao.Mwanzoni alianza nao sawa wakisapotiana.Alipofanikiwa kukaa kikao yeye Katibu,Afisa Elimu Na Mkurugenzi kilichofuata ni Katibu kuwatoroka walimu Na kuongeza ugumu katika kufuatilia suala lao.Walimu baada ya kuona CWT imeungana Na mwajiri wakakata shauri walimu wenyewe wakajiorganize wakaenda Hazina Dar wakafuatilia mambo yao,withini one month mambo yakawa super .Sasa walimu kama Hawa wataipenda CWT inayowahujumu?
Kuna mahali humu nimeandika jinsi chama kilivyopambana kuwawajibisha makatibu waliofanya usaliti kwa kuahidiwa vyeo na serikali wakiwasaliti walimu.
Naibu katibu mkuu Olouch ni moja kati ya waliofanya kazi hiyo ya kuwadhibiti makatibu hao wachache kama wapo na sasa unaona yaliyomkuta kwa kuwa yeye ni mwiba kwa chama.
Usaliti upo mahali pote what's needed is to be against totally kwa kuondoa msaliti.
Ikiwa yesu mwenyewe alisalitiwa itashindikanaje watusaliti chama kwa vyeo na pesa.
Tuko vizuri kuwabana kwa njia nyingi tatizo mkimjua mnaweka siri. Akishindwa katibu wa wilaya vuta waya mpigie wa mkoa naye akizingua vuta waya piga makao makuu kwa katibu mkuu.
 
Kuna mahali humu nimeandika jinsi chama kilivyopambana kuwawajibisha makatibu waliofanya usaliti kwa kuahidiwa vyeo na serikali wakiwasaliti walimu.
Naibu katibu mkuu Olouch ni moja kati ya waliofanya kazi hiyo ya kuwadhibiti makatibu hao wachache kama wapo na sasa unaona yaliyomkuta kwa kuwa yeye ni mwiba kwa chama.
Usaliti upo mahali pote what's needed is to be against totally kwa kuondoa msaliti.
Ikiwa yesu mwenyewe alisalitiwa itashindikanaje watusaliti chama kwa vyeo na pesa.
Tuko vizuri kuwabana kwa njia nyingi tatizo mkimjua mnaweka siri. Akishindwa katibu wa wilaya vuta waya mpigie wa mkoa naye akizingua vuta waya piga makao makuu kwa katibu mkuu.
Hivi Email zenu Huwa mnajibu?Kupiga simu kwenye kituo chetu sidhani kama kuna mtu kafanya Ila Email Barua watu wameandika sana tu.Je Huwa mnajibu?
 
Kweli wewe mjini chai, umenichekesha sina mbavu mimi daaaah una vituko mpaka hunogi wewe[emoji23][emoji23]
Ni kweli Mkuu MJINI KUNOGA CHAI.......................Ingawa wengine kama wewe huona HAINOGI...................!!!!!
 
Hivi Email zenu Huwa mnajibu?Kupiga simu kwenye kituo chetu sidhani kama kuna mtu kafanya Ila Email Barua watu wameandika sana tu.Je Huwa mnajibu?
Super Sub Steve acha kuhangaika na email vuta waya ongea na mhusika moja kwa moja. Faida yake atakuuliza maswali kadhaa, atajua ulipo, atahitaji evidence kama unazo, atapanga ziara elekezi huko uliko nawe utapata majibu mazuri na kwa wakati.
 
Ainisha hayo matatizo.................!!!
Mkuu hapa hatushindani Ila nimesema CWT ijichunguze kuna sehemu HUENDA hapapo sawa.
Sasa kama CWT hawana kawaida ya kufanya Tathmini Na kuona kila wanachofanya ni perfect akitokea mtu mwenye ushawishi akaweza kuweka ushawishi mzuri kuwa CWT ni cha ovyo cjui kama huo muda wa kuuliza kuwa ainisha matatizo utakwepo.Sana sana utaanza kujitetea kuwa CWT ipo vizuri kitu ambacho kitakuwa ni too late.

[HASHTAG]#Swali[/HASHTAG] Chonganishi nini maoni yako kwenye uongozi mpya ulioingia madarakani? Maana kuna mtu aliwekwa kwanza lock up ili uchaguzi upite.Mwisho akaachiwa Bila kufunguliwa mashtaka
 
Ni kweli Mkuu MJINI KUNOGA CHAI.......................Ingawa wengine kama wewe huona HAINOGI...................!!!!!
Tumezoea togwa hiyo chai inaunguza
74b2ded7c1623b2fc065656c258312fe.jpg

Kitu hiki mkuu karibu sumbawanga.
 
Mkuu hapa hatushindani Ila nimesema CWT ijichunguze kuna sehemu HUENDA hapapo sawa.
Sasa kama CWT hawana kawaida ya kufanya Tathmini Na kuona kila wanachofanya ni perfect akitokea mtu mwenye ushawishi akaweza kuweka ushawishi mzuri kuwa CWT ni cha ovyo cjui kama huo muda wa kuuliza kuwa ainisha matatizo utakwepo.Sana sana utaanza kujitetea kuwa CWT ipo vizuri kitu ambacho kitakuwa ni too late.

[HASHTAG]#Swali[/HASHTAG] Chonganishi nini maoni yako kwenye uongozi mpya ulioingia madarakani? Maana kuna mtu aliwekwa kwanza lock up ili uchaguzi upite.Mwisho akaachiwa Bila kufunguliwa mashtaka
Kwanza kabisa sipo kwa ajili ya kushindana......wewe ni wale wale nathibitisha hili kwenye hiyo Tag yako.........Toeni maoni viongozi wayashughulikie......Uchaguzi umepita Mnatafuta nini.....? kuweni wavumilivu SOOON ''mtashiba''..........
 
Back
Top Bottom