MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,184
- 5,435
Unachouliza si relevant na hoja iliyopo mezani. Hebu eleza tatizo lako mfano unaposema wewe ni kiongozi jibu likawa ndiyo ama hapana wewe unapata nini. Muwe na uwezo wa kujenga hoja siyo vioja.
Kama ndiyo naelewa wewe ni mmoja wa wachache mnaonufaika na hivi vyama ambavyo haviwasaidii wanachama wake.na zaidi ya hapo punguza povu jibu hoja kwa hoja hata kama unafikiri ni mbovu ijibu kwa kwa hojaUnachouliza si relevant na hoja iliyopo mezani. Hebu eleza tatizo lako mfano unaposema wewe ni kiongozi jibu likawa ndiyo ama hapana wewe unapata nini. Muwe na uwezo wa kujenga hoja siyo vioja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huhuhu...hadi mmoja afe!
Kujitoa CWT ni process fupi na isiyo na Usumbufu. Andika barua kwa Katibu wako wa Wilaya ukipitia kwa Mwajiri wako. Utatoka haraka sana. Hakuna haja ya kutoleana lugha za kuudhi ninazoziona humu. Ila take my word: huwezi kufikia retirement age kabla hujajutia uamuzi huu wa kujitoa!Naomba msaada namna ya kujitoa chama cha waalim Tanzania.
Sijaona hoja wewe umedai uelekezwe namna ya kujitoa usikatwe umeambiwa huwezi jitoa bado unauliza nini tena. Wilaya yako ina uongozi umeshindwa kuwauliza wakusaidie mwalimu gani unaogopa hadi ofisi.Kama ndiyo naelewa wewe ni mmoja wa wachache mnaonufaika na hivi vyama ambavyo haviwasaidii wanachama wake.na zaidi ya hapo punguza povu jibu hoja kwa hoja hata kama unafikiri ni mbovu ijibu kwa kwa hoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika vice versa,ni hivi aandike Barua kwa Mwajiri ya kusitisha makato then Mwajiri atawapa Taarifa CWTAndika barua ya kujitoa kwa katibu CWT nakala kwa mwajiri wako.
Tanzania kuna CWT Na CHAKAMWATA ,kusema hairuhusiwi vyama viwili kidogo ninapata shida kukuelewaWewe unapoteza muda wako bure. Najua shida yako ni kwamba uachwe kukatwa 2%. Kila idara ina chama chake cha wafanyakazi na hairuhusiwi kuwa na vyama viwili vya wafanyakazi idara moja. Kama umechoka na cwt nenda kasome sheria uungane na akina tundu lissu tls au jiunge na chama cha madaktari cha akina ulimboka.
Sijawahi kuona chama kinachofanya kazi Tanzania kama cwt na sijawahi kuona chama chenye maendeleo kama cwt na sijawahi kuona chama kinachopigwa mawe na wanachama wake kama cwt?.
Wana vitega uchumi vya adabu kila mkoa na wameanzisha benki ambayo tayari inafanya kazi wamebaki kusupplly matawi nchi nzima tu tena kwenye majengo yao si ya kupanga.
Hata nmb ni benki kubwa lakini haina asset kama za benki ama Cwt.
Haraka ya wanachama na uelewa mdogo wa members utakigharimu chama baadaye kwani uongozi si jambo jepesi.
Wakati ukifika hata wewe unayetamani kutoka utatamani urudi tena wakati ambapo meli itakua imengoa nanga. Mwisho utabaki kufa na uzazi wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya kuna vyama vingapi vya Walimu?Hata tunapoisifia tls ambayo viongozi wake wanahangaika kutwa kuteswa na serikali hii wakidai haki zao tunakuwa majizi.
Huna hoja ya msingi ungekuwa nayo ungeileta hapa tukujibu. Pia chama kina ofisi mpaka shuleni kwako umeshindwa kupeleka huko wakusaidie unaleta hapa mtandaoni bado unajiita msomi.
Endelea kuniita mimi jizi lakini ukifanikisha kujitoa leta mrejesho hapa.
Tatizo ni uelewa wako mdogo kuhusu sheria za kazi duniani na vyama vya wafanyakazi. Sheria zinazoongoza chama cha walimu siyo sheria za cwt bali sheria za vyama vyote duniani ktk nchi zote na Tanzania ikiwemo.
Pia nakushauri uwe msomaji wa makala mbalimbali maana nakuona upo gizani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachama wanafaidikaje na hizo assets?Wewe unapoteza muda wako bure. Najua shida yako ni kwamba uachwe kukatwa 2%. Kila idara ina chama chake cha wafanyakazi na hairuhusiwi kuwa na vyama viwili vya wafanyakazi idara moja. Kama umechoka na cwt nenda kasome sheria uungane na akina tundu lissu tls au jiunge na chama cha madaktari cha akina ulimboka.
Sijawahi kuona chama kinachofanya kazi Tanzania kama cwt na sijawahi kuona chama chenye maendeleo kama cwt na sijawahi kuona chama kinachopigwa mawe na wanachama wake kama cwt?.
Wana vitega uchumi vya adabu kila mkoa na wameanzisha benki ambayo tayari inafanya kazi wamebaki kusupplly matawi nchi nzima tu tena kwenye majengo yao si ya kupanga.
Hata nmb ni benki kubwa lakini haina asset kama za benki ama Cwt.
Haraka ya wanachama na uelewa mdogo wa members utakigharimu chama baadaye kwani uongozi si jambo jepesi.
Wakati ukifika hata wewe unayetamani kutoka utatamani urudi tena wakati ambapo meli itakua imengoa nanga. Mwisho utabaki kufa na uzazi wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio viwili tu bali vipo vitatu kingine kinaita Tanzania education offisers UninionTanzania kuna CWT Na CHAKAMWATA ,kusema hairuhusiwi vyama viwili kidogo ninapata shida kukuelewa
mkuu vitega uchumi vyote ivyo. je walimu wanapata mgawo wa uwekezaji wao?Wewe unapoteza muda wako bure. Najua shida yako ni kwamba uachwe kukatwa 2%. Kila idara ina chama chake cha wafanyakazi na hairuhusiwi kuwa na vyama viwili vya wafanyakazi idara moja. Kama umechoka na cwt nenda kasome sheria uungane na akina tundu lissu tls au jiunge na chama cha madaktari cha akina ulimboka.
Sijawahi kuona chama kinachofanya kazi Tanzania kama cwt na sijawahi kuona chama chenye maendeleo kama cwt na sijawahi kuona chama kinachopigwa mawe na wanachama wake kama cwt?.
Wana vitega uchumi vya adabu kila mkoa na wameanzisha benki ambayo tayari inafanya kazi wamebaki kusupplly matawi nchi nzima tu tena kwenye majengo yao si ya kupanga.
Hata nmb ni benki kubwa lakini haina asset kama za benki ama Cwt.
Haraka ya wanachama na uelewa mdogo wa members utakigharimu chama baadaye kwani uongozi si jambo jepesi.
Wakati ukifika hata wewe unayetamani kutoka utatamani urudi tena wakati ambapo meli itakua imengoa nanga. Mwisho utabaki kufa na uzazi wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe wewe ni chizi usiyehusika? maumivu waachie wahusika.je walalamikia nini haswa ?kaa kimya hao madam na sirs waendelee na vinavyowahusu !Nasikia Jamaa wezi sana hata ikitokea Mwalimu amepata tatizo akienda ofisin kwao hawana msaada nawanakutreat kama umeenda kuomba msaada kumbe kwa pesa yako ndio wananenepesha matumbo na kuhudumiwa ni haki yako.
Poleni Teachers a.k.a Sir's/Madam's
Sent using Jamii Forums mobile app
Chakamwata haina uwezo wa kuongea na mwajiri kwa kigezo cha members. Mwajiri huongea na chama chenye member wengi.Tanzania kuna CWT Na CHAKAMWATA ,kusema hairuhusiwi vyama viwili kidogo ninapata shida kukuelewa
Uongooooooo mkubwa kuna walimu wamejitoa CWT wapo CHAKAMWATA Na wanakatwa asilimia moja.Chakamwata haina uwezo wa kuongea na mwajiri kwa kigezo cha members. Mwajiri huongea na chama chenye member wengi.
Kwa hiyo Cwt watakukata 2% kama ada ya uwakala na chakamwata watakukata1% kama ada ya uanachama so utakatwa 3%.Hiyo si sheria ya Cwt bali ya serikali. Nilishawahi tupia barua ya kisheria humu kwenye post hii ipo.
Ninachokiona hapa ni mgogoro wa kimaslahi. Kuna watu waliogombea wakashindwa hivyo wakajenga chuki na propaganda za uongo kuhusu Cwt mfano haikaguliwi, haitetei Mwakajoka ya walimu sasa mimi najiuliza toka imekuwepo chakamwata ni miaka zaidi ya saba hata ofisi wamepanga Uwamu saccos Uyole Mbeya na wanakusanya ada za walimu kila mwezi wanapeleka wapi.
Leo nchi nzima wakuu wa sekondari, wakuu smsingi, waratibu elimu kata wote wanalipwa posho ya madaraka si chini ya 200000/= hadi 250000/= nje ya mishahara yao. Mpiganiaji wa hilo jambo aliyefanikisha Mr Olouch amewekwa ndani mara kadhaa na sasa anahangaika na kesi ya kufukuzwa kazi kisa haki za walimu hiyo Chakamwata imewasaidia nini.
Leo mmepewa hisa na chama kupitia michango yenu ya kila mwezi sasa hiyo chakamwata nayo inawakata kama Cwt ni benki gani ilikowanunulia hisa kwa faida yenu.Au ina kitega uchumi gani kwa manufaa yenu angalau hata mtoke pale mlipopanga saccos Uyole mnakodaiwa kodi mkalipe.
Msidanganyike wala kudanganya watu kwani hata Mwenyekiti wa chakamwata anakatwa na Cwt ni Mwalimu mbeya vijijini na mara ya mwisho nimeona makato yake July 2016.Asidanganye watu kama haipendi Cwt akauze hisa alizopewa.
Tatizo la walimu wengi ni wakurupukaji hawatafiti mambo huingia kichwa kichwa na kuwaumiza mbeleni.
Cwt ilipofikia ni Lulu na mfano wa kuigwa nchini.
Unasikia tu, how far are you sure that you listen is true. Acheni kuamini mambo bila kuhakiki. Itachukua zaidi ya miaka 40 hiyo chakamwata kuifikia Cwt ya sasa now sijui miaka hiyo cwt nayo itakuwa wapi. Vijana tumieni akili kuwaza.Nasikia Jamaa wezi sana hata ikitokea Mwalimu amepata tatizo akienda ofisin kwao hawana msaada nawanakutreat kama umeenda kuomba msaada kumbe kwa pesa yako ndio wananenepesha matumbo na kuhudumiwa ni haki yako.
Poleni Teachers a.k.a Sir's/Madam's
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi kusoma nilichoandika uelewe. Najua hujui hata hiyo chakamwata ilikoanzia hata ofisi zao za makao makuu huzijui.Uongooooooo mkubwa kuna walimu wamejitoa CWT wapo CHAKAMWATA Na wanakatwa asilimia moja.