Naomba msaada, TCU profile inaonesha sikufanya application

Tatizo madogo wana jifanya wao ndio wajuaji.. mmemaliza form 6 yenu na jikusanya kwenye internet cafes mnaanza kujidanganya chagua medicine ina hela , chagua geology iko vizuri kinoma, achana na io chagua economics and statistics, hio kozi sio chagua sijui kitu gani, mwisho wasiku mkipigwa chini mnakuja kutusumbua humu.. kaeni na watu walio maliza vyuo ambao wako mitaani wawape ushauri nyie! Unadhani ukijaza medicine ndio utakua tajiri badae? Supplementary je umejiandaa kuzi kwepa?
 

umeongea point sana.
 
Wakuu naomba nifahamishwe juu ya application for second round, je ambaye hujaomba ktk application ya kwanza unaruhusiwa kuomba au ipo km marejeo ya waombaji waliokosa kwenye maombi ya kwanza?
 
Wakuu naomba nifahamishwe juu ya application for second round, je ambaye hujaomba ktk application ya kwanza unaruhusiwa kuomba au ipo km marejeo ya waombaji waliokosa kwenye maombi ya kwanza?


Ndio,kama hukuomba kabisa its your time unaweza kuapply kwenye second round
 
Wakuu naomba nifahamishwe juu ya application for second round, je ambaye hujaomba ktk application ya kwanza unaruhusiwa kuomba au ipo km marejeo ya waombaji waliokosa kwenye maombi ya kwanza?


Yeah kama hata hukuomba kwa mara ya kwanza unaweza ku apply

Ila choices zinakuwa limited
 
2nd Round Application ni kwa wale tuu walio apply mara ya kwanza alafu hawakuwa selected hivyo TCU ikatoa option ya wao kurudia tena.:angry:
 
ivi wale walioapply kw qualfction za diplom selection zao znatok lin wakuu!
 
asee vip kuhusu bachelor of sciece in forestry pale sua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…