Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry nili mis interpret nilijua wewe umwandikiwa for second round kumbe umesema tuwaombee second round. Got you now. .
Hongereni sana kwa kufanikiwa hatua ya kwanza muhimu, hapo sasa hamna haja ya presha sababu utachaguliwa kozi mojawapo wa hizo ulizoaply,
kiasi flani ina ukweli
Umu wanasema u have successifully been selected but swali ni kwamba ukiclick pale kwenye application unakuta page ya second selection
hata mimi nikiingia hapo kwenye Application napata hiyo second round pamoja na coz na vyuo. Lakini kwenye my profile kumeandi kwa "PROCESSED. YOU HAVE SUCCESSFULL SELECTED". Watu juze kwa wale wanaojua zaidi juu ya jambo hili wakuu.
Archbishop James University College (AJUCO) AJ
hata mimi nikiingia hapo kwenye Application napata hiyo second round pamoja na coz na vyuo. Lakini kwenye my profile kumeandi kwa "PROCESSED. YOU HAVE SUCCESSFULL SELECTED". Watu juze kwa wale wanaojua zaidi juu ya jambo hili wakuu.
Mkuu hiyo second round umeipata wapi au kwenye hiyo SELECTED PROGRAMS?
Yaan cjapata jibu sahihi asee kwa sababu gani icho kibox cha application kina option ya second selection wakati Washaandika U have been selected successifully
Jamani my profile wameandika processed
mwenye taarifa anisaidie juu ya majibu hayo mwenzie presha iko juu
Yaan cjapata jibu sahihi asee kwa sababu gani icho kibox cha application kina option ya second selection wakati Washaandika U have been selected successifully
m mwenyewe nilipata div. 3 ya 14 2012 yan BSS comb pcm nimerisit mwaka huu nkapata C ya phy bt wamentema
Mwisho wa kuaply ni lini