Naomba msaada: Uume wangu hulegea wakati wa tendo

Kama wakuu wengine walivyo kwisha kushauri nami nachukua fursa ya kukusisitiza fanya mazoezi.

Pili ambalo pia ni muhimu sana, unapofanya tendo la ndoa usitumie nguvu nyingi sana, kiasi kwamba misuli yako ikawa inatumika mno.

Kuwa na uume mgumu unahitaji damu nyingi na hasa ukizingatia ukubwa wake, kwa hiyo unapotumia nguvu nyingi ina maana misuli yako inahitaji damu nyingi pia ili iweze fanya kazi kwa ufanisi.

Sasa ukitumia nguvu nyingi ina maana
unahitaji more energy ili kuuwezesha mwili wako ku-move up and down au back and forth na hivyo kusababisha organs zako kama kiuno, mapaja, miguu, mikono na ndiyo, ambazo zina misuli mingi iweze kuusukuma mwili kwenye positions hizo tofauti.

Kwa vile mwili wa binadam hauna reserve ya damu, inafika wakati misuli inakosa oxygen kwa ajili ya combustion kwenye engines (mitochondria) za cells za misuli
ili ku-produce more energy kwa ajili ya dilation na contraction ya hiyo misuli ya organs nilizo zitaja hapo juu.
Ebu jijuze kidogo kwenye hii link; Kwa hali hiyo ubongo unapata signal kuwa nguvu zinaisha kwenye misuli na ndipo hapo testosterones (male sex hormones) ambazo zina control mechanism ya sexual organs kama ku-pump damu kwenye uume na kadhalika, ku-induce uume wako kulegeza valves ambazo zinazuia damu kwenye uume wako ukiwa katika erected state na kuiacha damu iingie tena kwenye blood vessels ili ikachukue oxygen kwenye mapafu na kuipeleka kwenye cells za misuli ili ikasaidie kuzifanya cells engines mitochondria ku-boost energy ili mwili usi-collaps na wewe kupoteza maisha.

Mwili kama organism au system priority yake ya kwanza ni kuku-keep wewe alive. Hayo mambo ya reproduction sio crucial katika maisha. Ndipo hapo unajisikia uume wako una lala. Ubongo una block activities za testosterone (male sex hormone) kupeleka damu tena kwenye uume wako.

Punguza activities kubwa kwenye Tendo la ndoa kama huna mapafu ya kutosha, utakufa!
 
Utakuwa na sukari aisee jamaa
 
Sio sukari hiyo aisee jamaa, ni sukari kwenye damu yako , yaani kiwango cha sukari kwenye damu yako kitakuwa juu, pia pengine una stress za maisha
Mkuu sukari ninayo ndani kama kilo hivi nilinunua kama mwez nyuma saiv inakaribia kuisha,nina mpango nikanunue nyingine.

Muhimu sana kwa chai
 
Sukari hiyo sidhani mkuu mana maisha yangu wastani nazingatia sana vyakula na sina dalili yeyote kubwa ya kisukari
Sio sukari hiyo aisee jamaa, ni sukari kwenye damu yako , yaani kiwango cha sukari kwenye damu yako kitakuwa juu, pia pengine una stress za maisha
 
Mh mkuu kweli kwa maisha yetu uchukue 40000 mkalale gest na wefi uache geto kwako daaa akili nyingine
 
Mh mkuu kweli kwa maisha yetu uchukue 40000 mkalale gest na wefi uache geto kwako daaa akili nyingine

Kama 40,000 tu unanitolea macho namna hii
basi wanawake wazuri endelea kuwaita shemeji!
 
Hiyo ni psychological effect...,wakat wa tendo la ndoa so waone wataalam watakupa tiba
 
Hilo tatizo la misuli kuwahi kulegea kutokana na punyeto linatibika? Ni nini tiba yake.
 
Muda wowote, remember usifanye mazoezi kila siku, pumzika walau siku 2 ili mwili upuumzike... Pia google "kegel exercise" it will help
Asante sana.

Na vipi mkuu ipi bora kufanya asubuhi na jioni ama kufanya asubuhi pekee ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…