Naomba msaada wa kiasi chochote cha fedha niweze kujikimu kwa muda nitafutao ajira

Kibarua kipo Dada ila kwa muda boss kafunga alikuwa na matatizo yake,ila nimekwama toka mwezi December, sina namba zaidi ya kuomba wenzangu kunipa nguvu Wakati nikisubiria kujishughulisha

pole lakini pia kua makini na misaada ya namna hii!
 
Hyo Avatar Mmmh? Haiendan Na Hali Unayoelezea Ila Kwa Nn Usiombe Kaz?
Mavazi husitiri hali halisi,lakini kuna muda twabeba wallets zikiwa na nauli tu ya kwenda kibaruani na kurejea nyumbani
 
Tatizo la hii JF huwezi kujua kama kweli mtu anashida au anafanya masihara tu. Inakuwa ngumu sana kuwaamini members wa humu ndani.
 
upo mbeya sehemu gani na unatafuta kazi ya aina gani,
ikiwezekana nikusaidie kupata kazi hapo mbeya kuna vibosile ni marafiki zangu haswaa
 
Ntarud baadae ngoja nikalainishe vyuma vumekazaa na grisi hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…