Naomba Msaada wa Kibarua

Ndio tatizo la watu,mtu akitaka kukuelewesha jambo ambalo huenda hulijui unaanza vijembe tena!!hahaaa
God ni Mungu.
god ni miungu(anaweza akawa ng'ombe,nyoka)kitu chochote unachokiamini kuwa ni Mungu wako.
[/QUOT thex boss japo umebugi kidogo
 
Wizara ya mambo ya ndani ipo mtaa gani
 
unatafuta kazi ya aina gani maeneo gani maana isije ukawa kama kijana mmoja alinishangaza amehitimu SUA masuala ya kilimo lakini hataki kazi za susimaimizi shambani anataka mwanzoni tu akiajiriwa apate kazi ya ofisini kwenye kiyoyozi.
Mkuu habari hiyo Kazi ya mashambani bado ipo tafadhali nahitaji
 
Hii sio rahsi kama ulivyoongea mkuu
 
Hii nzuri sana mama itafunction
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…