Nilitaka nimsaidie ila nilifukua kwanza makaburi, sikuizi mjini.ujanja mwingi sana
Sent using
Jamii Forums mobile app
kaka kiukweli ulipaswa kuniunga mkono sana mdogo wako hukupaswa kunilet down kiasi hicho nachoweza kukujibu ni kuwa:
-id hii ni ya kwanza kwangu hapa jamiiforum sijawahi kuwa na id nyingine yoyote na si mwenyeji sana wa hapa jf napenda kuchangia mada yoyote nayoona inanifurahisha.
-sijafungua id hii kama mwenyeji wa hapa na hata sina ufahamu wa mambo mengi sana hapa jf mfano kun mtu alitoa threar inayomuomba radhi manengelo something kinachosemekana kimetokea JUKWAA LA WAKUBWA,hili jukwaa hata sijui ndio jukwaa ganina linapatikana wapi,
Kusema kuwa nimefungua id maalum kwa lengo ovu,hapana haupo sahihi kaka kwa sababuunasema nina id zingine ingefaa ulete hizo id hapa,na kwa kuwa haupo sure thats why unasema tu ana id nyingine na sababu za kuwa na hisia za kwamba nina id nyingine ni,coment yangu ya kwanza katika post inayohusu kumlala mtoto wa shangazi,nakumbuka nilicoment hivi "wale tuliokula watoto wa shangaz tujuane" ukiendelea kuisoma replies utakita tukio hilo lilitokea nkiwa form2 mtoto mdogo kabisa na naapologize because ulikuwa ni utoto sasa je ikiwa ni kiziwi sina hisia zingine za mwili a sistahili kutenda mistakes kama hizo kwa sababu ni kiziw, lakini pia je tukio hili na coment hii vinaniekaje kwenye kundi la wasio waaminifu?
Pia kuna tukio la kanisani hilo nalo umelihighlight je! Hil nalo lina kipi cha kunifanya niwe si muaminifu mwenye id nyingi?
Lakini unadhani nitakua juhakiasi gani kufungua id maalum na kisha nisifiche hayo unayofikiri si sahihi?
Pia umesema lengo la knisaidia ila umefukua makaburi nmwisho umehitimisha kwa hisia na sio ushahidi wa yale unayoyahisi wewe.
Lakimi bro,uzi huu nimeomba msaada na uzi huu ni muhimu sana kwangu kama vile ulivyo na kazi inayoendesha masha yako mwenzio sina kaz na nimeongelea kwa ufupi changamoto zinzopelekea kuachana na kuhangaika na kutafuta kazi nikaomba mtaji hapa so thread hi inabeba mustakabali wa harkati za maisha ya mwenzio,bro maamuzi yako yanaweza kusababisha wengine maumivu ya nafsi,kilio na kukata tamaa hatimaye maisha ya mtu yakawa total waste.
Huwezi jua ni kiasi gani iwapo nitfanikiwa kuanza hiyo biashara huenda ndio ikawa njia ya mafanikio yangu.
Bro naapa kwa Mungu wetu kuwa kila nilichoongea ni KWELI hivyo futa hisia mbaya juu yangu na be a part of my life bro t the time ukinifahamu kwa undani unaweza notify kuwa i need help na ushirikiano pia