Mkuu hiyo ni vita yako! Haijalishi wazazi wako wana shughuli gani? Kiufupi nimelelewa single mother,my mom...she is fighter too.ni story ndefu kukueleza nimefanyaje, kiufupi badili kwanza mind set yako,kuwa mpambanaji haswa,fanya kitu kwa ufanisi mara mbili ya unaodhani wamekamilika, ngoja nikupe mfano tu,niliwahi kwenda mkoa fulani kimahangaiko,sifahamiki huko,siku moja. Nikaamua kwenda mazoezini (mpirani) nikapangwa no 10, na sikuwaaambia tatizo nililonalo, sasa basi zile dakika 45 za kwanza mambo niliyofanya yalishangaza watu wengi,niliupiga mpira wa kipekee sana, sasa half time,watu wananizunguka kia mtu anataka anione kwa ukaribu,katika maongezi ndio nikawaambia hali yangu,kitu kilichowashangaza wengi,hawakuamini, kwahiyo hatua ya kwanza jipe deni la kufanikiwa kuzidi watu unaowaona wewe wamekamilika.