Naomba msaada wa kuanzisha mradi huu


Hapo ni masaa tisa yamepita, umeandika kwamba kwasasa umejitolea kwenye shule moja huko Mtwara.

Hapo ni siku mbili zilizo pita, umeandika kwamba kwenye kutafuta vibarua umekosa hata pale ulipo omba kujitolea.

Hapo juu, umeandika kwamba ulipata tatizo la kutokusikia mwaka 2003 ukiwa darasa la pili.
Hapo juu, ukabadilisha kwamba ulipata tatizo la masikio mwaka 2004 ulipokua darasa la tatu.

Samahani mkuu, hapa nimeamua kusoma kwa umakini tu ili kuweka kumbukumbu sawa.
 

Attachments

  • 20190325_013114.jpg
    33.4 KB · Views: 22
Asante mkuu you are genious,mwaka niliopata hili tatizo huwa nauchanganya coz ni miaka mingi imepita due to circumstance katika matibabu hadi pale nilipozoea hali hii na kuikubali ni kuanzia mwaka 2003-2006 katika kipindi hiko ndipo nilipokuwa nazunguka kutafuta matibabu hapa nchni,kuanzia mwaka 2007 na kuendelea nilikuwa nimeshaacept na kukubaliana na hali halisi na kuchanganya miaka hiyo yaweza kuwa ni uzembe wangu kwa kutotilia maanani umuhimu wa taarifa hzi akili yote ipo kwenye pointi nayotaka kuisema tu.

Hapo nilipoandika kuwa hawataki nimeinclude shule binafsi nlizoomba volunteer na maeneo mengine yenye credit na fursa

Sijaiclude shule nayojitolea kwa sasa kwa sababu ni ya serikali na hakuna shule ya serikali inayokukatalia kujitolea na hawakufuatilii wala kukutambua yaan upoupo tu hata mia ya andazi hamna nayo nafanya kama kujikeep busy tu huku naendelea kuangaza huku na huko.
 
Sawa, pole sana mkuu.
Basi nakushauri upate barua ya kutambuliwa kama mlemavu wa masikio, na hii itatutoa mashaka sisi matomaso.
Kisha ambatanisha na kitambulisho chako chochote, na baada ya hapo.... weka namba yako ya simu hapa na hakikisha imesajiliwa kwa majina ambayo yatakua yame ahinishwa kwenye barua ya utambulisho pamoja na kitambulisho.
Ukifanikiwa kuyafanya hayo, hata nami nitakua nimejiridhisha na nitakutumia kiasi ili ikusaidie.
Asante na samahani kama pengine nitakua sija kufurahisha kwa mchango wangu wa maoni.
 
Kwanza nitangulize shukrani mkuu umenifumbua macho katika hili ubarikiwe sana.
 
Asante na karibu
Niliwahi kuwasiliana na wewe kwa ishu fulani,mara nyingi nilikuwa nasisitiza tutumie sms zaidi,nahisi hukujua kwanini,huenda ulijua tapeli,noo,.. Nina tatizo kama hili mkuu,but huwa sipendi kumwambia mtu ,huwa sijisikii vizuri,niko wilunze kwa ishu fulani,nikija dom mjini ningependa tuonane mkuu ushimen.
 
Nimekumbuka mkuu...
Those days ulikua unanikasirisha sana mkuu, na hasa pale nilikua nikikupigia alafu unakata.
Na skumoja nilikua na mteja, na kisha nikakupigia tukiwa pamoja. Na ulipo kata hakika nilipata moto sana na nikakuweka kwenye kundi la watu wasio serious.

Naomba nikupe pole sana mkuu, na naomba unisamehe kwasababu sikujua kama ipo shida.
 
Nashukuru mkuu!
 
Nawaza huu uzi angeandika jinsia ya kike..mpaka sasa angekuwa ashapata laki 6 hvi๐Ÿ˜ŽโœŒ
mmh uzi huu nimeupost hadi katika account yangu ya facebook,kuna mdau haa nadhan alikuwa na mashaka he promissed me kwa if nitapost katika wall yangu atanisaidia because im serious and im really in need nimepost fb,but kwanini sikupost favebook? Ni kwa sababu kule una marafii wengi na mnaheshimiana,then si vizuri kuweka maisha yako open kwa kila mtu facebook kuna watu wengi sana from ulosoma nao na marafiki tuliofahamiana ukubwani,achana na wanajamii wengine wanaokuheshimu imagine ni kitu kigmu kiasi gani kuweka uzi huu facebook

But i decided to do as he wished to show my real will nilipost nikiamini atatimiza ahadi ya kunisaidia na si kuombamarafii wa fb kwa sababu wengi ni wale wa rika lako ni vigumu kukusaidia

Lakin baada ya kutimiza sharti hili hajibu jumbe kaondoka mazima,my sister kanifuata huku analia kasema my bro in law ni kweli sisihatuna uwezo wa kukusaidia ila kitndo cha kupost kule kimewadhalilisha mno ndugu na family yangu,kamuonesha my mom se cried too,my fadher akaingia room sijui alienda kufanya nn but walikuwa na uchungu mwingi,nafahamu kamathat person angetimiza ahadi yake ningewaonesha i hope wangefurahi too!


Kitendo hiki kinanifanya nifeel bad sana nimelost heshima nimejivua nguo mbel ya jamii i hope tha person amefurahi sana for doing this

Baada ya kueka uzi huu hapa hadi sasa hivi sijaungwa mkono na yeyote hata huko fb watu haa kulike na kucoment ni kwa machale s naufuta huu uzi fb nakosa amani sana kuona hata yule binti niliempenda sana amesoma na akalike hata wale vilaza darasani wamesoma kila anaenifahamu! Hii inaniweka kwenye stress kla dk
 


Hujiamini pia...anywys kuna mdau alikuomba uweke hapa namba zako..hujaweka...!
 
Hujiamini pia...anywys kuna mdau alikuomba uweke hapa namba zako..hujaweka...!
Binafsi naweza kusema najiamini kwa kiasi chake,tatizo ni privacy dada japo kidogo mtu unahitaji utunze privacy zako jamani.

Hebu niweke namba my sister nlkua confused sana
 
Aisee...!! Kweli una shida aisee..nimesikitika sana.
 
Napenda kuwashukuru sana watu waliojitoa katika kunishauri na kunpa moyo kwakweli mbarikiwe sana sana sana.

Napenda pia kutoa mrejesho wa bandiko hili,Mungu ni mwema sikubahatika kupata mtaji naamini wapo waliotamani kunisaidia wakashindwa kwa sababu mbalimbali.

Kwa sasa naendelea kujitolea shule ya msingi rahaleo(kitengo cha viziwi),Mtwara mjini,somehow nafeel proud to be a part of their life and this is only i have to help them.

I have faith,milango itafunguka kwa ajili yangu siku moja.
 
umemchana mkeka wa watu๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Mhh kweli watu tuntofautiana sana kidogo chako kikubwa lakin kikubwa chako kwake kidogo,mkuu umedharau sana kuita huu mkeka
 
Jifanyie kitu kinaitwa SWOT ambapo utatambua uwezo,mapungufu yako,fursa na matishio mbalimbali yanayokukabili.
Kwa haraka ni kuwa wewe ni mhitimu wa ualimu na unafundisha for free (kwa kujitolea) huu ni uwezo mkubwa mno wa kutoa elimu bila kulipwa.
Nakushauri kuwa na tabia njema,jenga jina na anzisha tuition hata kwa shillingi mia moja kwa mtoto mmoja kwa saa moja na nusu.Naamini utakuwa huna haja ya kuomba msaada tena.Jaribu kisha nijulishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ