Naomba msaada wa kuanzisha mradi huu

Asante kwa ushauri mzuri,Mimi nipo kitengo cha viziwi mkuu wanafunzi wangu ni viziwi pia.

Nitafanyia kazi SWOT analysis kama ulivyonishauri huenda ikawa msaada kwangu,be blessed
 
Kwanza nitangulize shukrani mkuu umenifumbua macho katika hili ubarikiwe sana.
wewe elimu haijakukomboa kabisaa
bado ujinga umekuganda haujakwachia
poor mind, poor lifestyle, poor future.
ulienda kujiendeleza kusudi upewe barua ya kutambua ulemavu wako? very shameee.......ni aibu.


fanya vitu venye afya Sio kujishushaa unatia hasira sana na ukiziwi wako unapaswa kutandikwa viboko 24 kwa kuzalilisha waalimu na chuo ulichosomea.

Badala ya kuwaza kwenda kwa ofisi ya mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya, mkurugenzi, na afisa maendeleo ya Jamii na Business plan yako uwaombe mkopo ama wakuelekeze na kukudhamini sehemu inayotoa mikopo wa kuanzia laki 5 mpaka milion 1 pia uandike kitu chenye ubunifu na namna bora ya kufanya hio biadhara ya vitafunwa tofauti na wenzako....。。。。。。。。 wewe unataka kwenda kutambuliwa Kama mlemavu....mjinga kabisa.......badala ya kupambana na kuonyesha kuwa disability not inability........... ynahitajika upate mateso na shida zaidi kusudi utumie maarifa uliyofundishwaa..... unapaswa kujitoa na kujikataa mpaka Jamii ikuone na kukutambua kwa juhudi zako Sio kujiweka katika kundi la watu wasiojiweza wanaosubiria malaika mtoa roho.....wewe ni mshindi ni tegemeo pambana usitake msaada tumia akili shule Hiyo unayojitolea kwa sasa ni mtaji tosha anza kupeleka maandazi wanafunzi anakusaidia kuuza mle mda wa mapumziko pia unaweza kuchukua ata tenda ya kutengeneza vitafunwa vya waalimu.


tafuta mama ntilie piga nae kazi onyesha ubunifu ndani ya mwezi Mambo yatasonga....huna familia unahitaji pesa ya kula kwanza mengine yanafuata,....kama kitu hakina msaada kwako usinganganie achaaa mara moja....tatizo kubwa ulilonalo ni kwamba hutumii akili yako? ukiendeleea na tabia ya kuwa ombaomba lazima ufe na ndoto zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemshaur vyema pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly good advice to this mpauko who need sympathy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana kuna vitu vya kuzingatia pia katika ujumbe wako!

But mkuu nakubali matusi yote na napaswa kuyabeba pia hata kama yapo ambayo sikustahili

Lakini mkuu je unawafahamu viongozi wetu? Mkuu unawafahamu wanasiasa wetu? Mku wa mkoa,mkurugenzi n.k? Unawafahamu mkuu? Kama bado ni hivi mkuu hawa watu wamebadilika sana zaidi ya sana nilihangaika mno na hawa viongozi bila mafanikio no one yupo radhi kukusaidia katika matter ambayo haina maslahi kwao But katika isue yenye maslahi kwao wapo very fast....


But mkuu neno msaada Ni hiari tu
Ni kwei nimeomba ili nifanye biashara sio kwa kuwa nimependa hapana mkuu ni baada ya juhudi nyingi kutozaa matunda je waweza amini kuwa nimekuwa nkitafuta mtaji kwa mwaka mzima sasa?

Nakosa cha kuongea barikiwa sana tafadhali jitahidi kutumia maneno mazuri maneno makali ni mzigo sana kwangu
 
Halafu kwa nini ujiite mpauko??? Hujui maneno yana umba? Utapauka kweli shaur yako

Sent using Jamii Forums mobile app
ni jina la mhusika katika riwaya nilivutiwa na uhusika wake aliitwa

Sembuyagi mpauko haufi

Katika hayo matatu jina linalochukulika kirahisi niliona ni mpauko wla jina halihusiani na hali yangu mkuu
 
Dah kweli maisha ni vita aisee tena vita haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…