cold water
JF-Expert Member
- Oct 6, 2021
- 238
- 954
Wee kolidi water jf expert member ndo unanunua sofa saivi?Naomba kunichagulia sofa nzuri nataka kununua,na kama una lako zuri zaidi,naomba utume picha kama nitalipenda nitapeleka order kwa fundi.
Kingine naomba kuuliza kama miguu ya sofa hizi inadumu? Nina wasiwasi na kuharibika miguu yake, yaani iyo miguu ya sofa.
Asante.
View attachment 2926538View attachment 2926539
Wewe chagua Sofa unajua km anataka kukununulia wewe?Wee kolidi water jf expert member ndo unanunua sofa saivi?
Ok Hilo namba 7 naona linakufaa sana.Wewe chagua Sofa unajua km anataka kukununulia wewe?
UmerogwaOk Hilo namba 7 naona linakufaa sana.
Ya kwanza ni Aly Ahly FC na hio ya pili ni Mashujaa FC,Naomba kunichagulia sofa nzuri nataka kununua,na kama una lako zuri zaidi,naomba utume picha kama nitalipenda nitapeleka order kwa fundi.
Kingine naomba kuuliza kama miguu ya sofa hizi inadumu? Nina wasiwasi na kuharibika miguu yake, yaani iyo miguu ya sofa. Nasoma comments zenu.....
Asante.
View attachment 2926538View attachment 2926539
Toa ushauriDuuh
Achukue namba mojaToa ushauri
Kwenye miguu ningekushauri chukua ile mipana iliyojaa yaani kama mbao hivi vifupi. Alafu chukua kochi yenye spring utainjoi zaidi kuliko ya mbao au mipira..Naomba kunichagulia sofa nzuri nataka kununua,na kama una lako zuri zaidi,naomba utume picha kama nitalipenda nitapeleka order kwa fundi.
Kingine naomba kuuliza kama miguu ya sofa hizi inadumu? Nina wasiwasi na kuharibika miguu yake, yaani iyo miguu ya sofa. Nasoma comments zenu.....
Asante.
View attachment 2926538View attachment 2926539