Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo hapo hamna sofa, ila kama option ni hizo mbili mi nakushauri uchukue namba 2 hilo kubwa manake hayo madogo yake ni design nyingine kabisa. Angalau hapo utapata miguu.Naomba kunichagulia sofa nzuri nataka kununua,na kama una lako zuri zaidi,naomba utume picha kama nitalipenda nitapeleka order kwa fundi.
Kingine naomba kuuliza kama miguu ya sofa hizi inadumu? Nina wasiwasi na kuharibika miguu yake, yaani iyo miguu ya sofa. Nasoma comments zenu.....
Asante.
View attachment 2926538View attachment 2926539
Kwa kushikiwa akilitafuta interior designer akushauri, wao wamesomea hayo mambo utafaidika zaidi
Lipia tangazoNaomba kunichagulia sofa nzuri nataka kununua,na kama una lako zuri zaidi,naomba utume picha kama nitalipenda nitapeleka order kwa fundi.
Kingine naomba kuuliza kama miguu ya sofa hizi inadumu? Nina wasiwasi na kuharibika miguu yake, yaani iyo miguu ya sofa. Nasoma comments zenu.....
Asante.
View attachment 2926538View attachment 2926539
Kwamba kama anaishi na mifugo ndani achukue namba 1 sio?😂😂Kama kwako kuna panya chukua namba 1 ,kama hakuna panya chukua namba 2.
😅😅😅Hayo namba mbili na yale ya L kama kuna panya watapata makazi .Kwamba kama anaishi na mifugo ndani achukue namba 1 sio?😂😂
Achukue tu namba moja regardless. Hayo ya pili yamekaa ki hotel hotel sana na saloon siku hizi wana design hizo.😅😅😅Hayo namba mbili na yale ya L kama kuna panya watapata makazi .
Na panya wakiwa na makazi haswa haya masofa ,wanazaana kibao utashangaa kila kona ni panya.Achukue tu namba moja regardless. Hayo ya pili yamekaa ki hotel hotel sana na saloon siku hizi wana design hizo.
Halafu hayo madogo yake nayo yamekaa ki lodge lodge😂😂
Mkuu, umepiga penyewe.Sina uchaguzi hapo. Kama huna hela ya kutosha nunua sofa plain zenye material iliyonyooka, chukua ngozi ile ngumu achana na materials zinaitwaje sijui hizo za kuteleza. Sio mara sofa lina vishimo, mara lina vimisumari chini, mara stripes rangi ya gold.
Uzuri wa sofa utauona baada ya miaka miwili, hapo unaona urembo low quality usiodumu hata miezi sita especially ukiwa na watoto.
Pendelea kuwa na vitu havivutii sana ila vinaweza maintain ule mvuto wake wa kawaida. Sio unakuwa na kitu shinny for a short period of time alafu shit quality.