Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Halafu watu kama hawa ndio wana ponda Facebook kuwa ni mtandao wa hovyo.Hii ndio maana halisi ya Jf home of Great thinkers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu watu kama hawa ndio wana ponda Facebook kuwa ni mtandao wa hovyo.Hii ndio maana halisi ya Jf home of Great thinkers
Ili kijana akapate msaada wa harakaIla jf jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umemsaka hadi umemleta
Yuko DodomaPopote ulipo Jenifer msigala jua nakukumbuka sana .
Mafinga nitarudi
Aisee na huwez amini muda huu ndio nachomoka mafinga kurud Dar.Nimetoka town saa 4 usiku jana nimeingia saa 2 asubh nimefanya kilichonileta na saa 10 hii jion nimechomoka.Hapa dar ni saa 7 usikuIvan Stepanov mpe mwongozo kijana
Namjua anakaa station kule juz nlimkuta maeneo ya kisenga barOya demu yuko Morogoro hapa anafanya kazi kiwandani hapa Dimon kingolwila kiwanda cha tumbaku mzee c anakimwili kidogo dogo halafu cheupe na sio mlefu saaana
Vipi upande wa nyumba za kupanga kwa nyumba ya vyumba viwili na sebule kodi kiasi gani
Jinsia ni me ,umri miaka 30 familia ya mke na mtoto mmoja.Mageto ni wewe tu, 150 hadi 120 chumba sebule na kijiko fulani hivi. Self contained. Sijajua wewe ni me ama ke? Sema haya mambo ya kuficha majina mkuu ungepata hifadhi bila kujali jinsi yako [emoji23] kwa hii miezi 2.
Asante kwa utu, kikubwa sehemu ya kupanga niipate kodi nitapambana nayo tuu kiongozi.Mageto ni wewe tu, 150 hadi 120 chumba sebule na kijiko fulani hivi. Self contained. Sijajua wewe ni me ama ke? Sema haya mambo ya kuficha majina mkuu ungepata hifadhi bila kujali jinsi yako [emoji23] kwa hii miezi 2.
Karibu tupo iyo pesa ukitulia tu unapata Mara tatu yake kwa kilimo Cha viazi mviringoWanaopafahamu nipeni taarifa sahihi
Asante kwa ushauriUwe tu Makin na HIV mnk huko ndio pahala pake
Kilimo cha mazao ya mda mfupi napenda pia. Huwa nalima vipi kwa zao la nyanya jeKaribu tupo iyo pesa ukitulia tu unapata Mara tatu yake kwa kilimo Cha viazi mviringo
✅Naomba msaada wa kuujua mji wa Mafinga.
Mimi ni kijana nahitaji kwenda kuanzisha maisha mji wa Mafinga. Nina ujuzi wa ICT, kilimo cha mboga mboga n.k, mtaji ni milion 6.
1. Historia yake.
2. Makabila yake, mila na desturi.
3. Huduma za kijamii.
4. Uchumi kwa ujumla.
Mkuu,Naomba msaada wa kuujua mji wa Mafinga.
Mimi ni kijana nahitaji kwenda kuanzisha maisha mji wa Mafinga. Nina ujuzi wa ICT, kilimo cha mboga mboga n.k, mtaji ni milion 6.
1. Historia yake.
2. Makabila yake, mila na desturi.
3. Huduma za kijamii.
4. Uchumi kwa ujumla.
Suala la ukimwi ni serious sana , nitajihadhari mkuuMkuu,
Ni mji mzuri, biashara ni nyingu, sema vitu ni gharama kidogo.
Biashara kubwa pale ni mbao na kilimo cha miti. Lakin pia kilimo cha mbogamboga km nyanya utatoboa. IT pia utatoboa
Hali ya hewa ni safi, barid isiyoumiza sana.
Kabila ni wahehe na wabena, ni wakarimu ila hawapendi kero au kukerwa, wanahasira na niwachawi kiaina.
Mafinga ni town, na ni along highway, ni pazuri sana, sio mbali na makambako na iringa town. Road ya pale I mean lami ni kiwango sana
Jiahadhari na UKIMWI.
Ukiitaja Mafinga unanifanya nimkumbuke Clementine Myamba, alomaliza F4 1992 pale Iringa Girls.......Naomba msaada wa kuujua mji wa Mafinga.
Mimi ni kijana nahitaji kwenda kuanzisha maisha mji wa Mafinga. Nina ujuzi wa ICT, kilimo cha mboga mboga n.k, mtaji ni milion 6.
1. Historia yake.
2. Makabila yake, mila na desturi.
3. Huduma za kijamii.
4. Uchumi kwa ujumla.