Naomba msaada wa mawazo

Yani ni hivi, MSHAHARA ukiingia napata ujumbe kabisa kuwa kiasi kadhaa kimeingia kwenye akaunti yangu but nikienda kufanya withdraw ni 0
Mkuu ni ngumu kukuelewa unachozungumza.

Hivi umeelewa hoja yangu kuhusu salary slip? Mbona unajibu tofauti na ninachohitaji kufahamu.
 
Yani ni hivi, MSHAHARA ukiingia napata ujumbe kabisa kuwa kiasi kadhaa kimeingia kwenye akaunti yangu but nikienda kufanya withdraw ni 0
Nenda Tawini haraka iwezekanavyo,ndiyo utaelewa nini kinacho endelea juu ya account yako,tena omba kuonana na Manager mikopo na siyo afisa mikopo!!
 
Mkuu ni ngumu kukuelewa unachozungumza.

Hivi umeelewa hoja yangu kuhusu salary slip? Mbona unajibu tofauti na ninachohitaji kufahamu.
Nimekuelewa mkuu.. yani namaanisha hivi upande wa mwajiri hakuna shida.. hakuna makato yoyote. Hati ya MSHAHARA Haina shida. Shida ni bank ambayo MSHAHARA unapitia..wao wamezuia nisifanye withdraw yoyote kwa miez miwili now.. shida hapa ni kwamba mshahara wangu unapitia bank hiyo..
 
Cha muhimu zote umekula ww zilipe tu






KAZI ni kipimo cha UTU
Sijakataa kulipa ila hofu yangu ni kulipa kwa hii njia ya kunizuia nisipate mshahara hata kidogo...ndo sababu nahitaj mawazo na ujuzi wa haya mambo. Je inaezekana nikafanya mapatano nao ili na mm nipate salary ata kiasi au ndo watatumia Sheria kama ipo kuniforce ni forsake mshahara wote Hadi watakapolipa hela Yao yote??
 
Ila kama hauko vizuri kwenye masuala ya mtandao,omba usaidizi tu,ukiingia e loan lazima utaona mikopo yako na makato yake na kila details je we umeangalia kwenye account yako?
 
Huju jamaa kuna mahali alijichanganya,alfu ela inaingiaje kabla ya kukatwa?
Hata mm nilishangaa Ivo lakini nilipowapigia walisema wao ndio wameniekea...nikauliza mbona imekua kidogo kuliko nilivoomba? Wakasema watanirudia tuongee..hawajawahi kufanya hivyo na effect ndo Ii sasa..mie siogopi kukatwa Io hela au hata wakisema watachukua mshahara wote Hadi itakapomalizika..sitaki kesi..kumbuka ni mtumishi wa umma MWANDAMIZI...kesi sio kitu poa kwangu..
 
Njoo mwenyewe hapa bank kesho mapema tunakusubili na pingu zako zipo teyar..
 
Tangulia Bank ya kwanza wasikilize kabla hujawaambia ulikopa kwingine hao ndo watakuwa msaada Mkubwa kwako.
 
Ila kama hauko vizuri kwenye masuala ya mtandao,omba usaidizi tu,ukiingia e loan lazima utaona mikopo yako na makato yake na kila details je we umeangalia kwenye account yako?
Huko kuko sawa...hakuna makato zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…