Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
Mkuu ni ngumu kukuelewa unachozungumza.Yani ni hivi, MSHAHARA ukiingia napata ujumbe kabisa kuwa kiasi kadhaa kimeingia kwenye akaunti yangu but nikienda kufanya withdraw ni 0
Nenda Tawini haraka iwezekanavyo,ndiyo utaelewa nini kinacho endelea juu ya account yako,tena omba kuonana na Manager mikopo na siyo afisa mikopo!!Yani ni hivi, MSHAHARA ukiingia napata ujumbe kabisa kuwa kiasi kadhaa kimeingia kwenye akaunti yangu but nikienda kufanya withdraw ni 0
Nimekuelewa mkuu.. yani namaanisha hivi upande wa mwajiri hakuna shida.. hakuna makato yoyote. Hati ya MSHAHARA Haina shida. Shida ni bank ambayo MSHAHARA unapitia..wao wamezuia nisifanye withdraw yoyote kwa miez miwili now.. shida hapa ni kwamba mshahara wangu unapitia bank hiyo..Mkuu ni ngumu kukuelewa unachozungumza.
Hivi umeelewa hoja yangu kuhusu salary slip? Mbona unajibu tofauti na ninachohitaji kufahamu.
Sijakataa kulipa ila hofu yangu ni kulipa kwa hii njia ya kunizuia nisipate mshahara hata kidogo...ndo sababu nahitaj mawazo na ujuzi wa haya mambo. Je inaezekana nikafanya mapatano nao ili na mm nipate salary ata kiasi au ndo watatumia Sheria kama ipo kuniforce ni forsake mshahara wote Hadi watakapolipa hela Yao yote??Cha muhimu zote umekula ww zilipe tu
KAZI ni kipimo cha UTU
Huju jamaa kuna mahali alijichanganya,alfu ela inaingiaje kabla ya kukatwa?Mkuu ni ngumu kukuelewa unachozungumza.
Hivi umeelewa hoja yangu kuhusu salary slip? Mbona unajibu tofauti na ninachohitaji kufahamu.
Hata mm nilishangaa Ivo lakini nilipowapigia walisema wao ndio wameniekea...nikauliza mbona imekua kidogo kuliko nilivoomba? Wakasema watanirudia tuongee..hawajawahi kufanya hivyo na effect ndo Ii sasa..mie siogopi kukatwa Io hela au hata wakisema watachukua mshahara wote Hadi itakapomalizika..sitaki kesi..kumbuka ni mtumishi wa umma MWANDAMIZI...kesi sio kitu poa kwangu..Huju jamaa kuna mahali alijichanganya,alfu ela inaingiaje kabla ya kukatwa?
Njoo mwenyewe hapa bank kesho mapema tunakusubili na pingu zako zipo teyar..Mimi ni mtumishi wa umma mwandamizi lakini jambo hili limenipita pembeni na nahisi nimeingia kwenye tatizo kuubwa.
Niliomba mkopo bank kwa kutumia mfumo wa utumishi. Kabla mfumo haujapitisha mkopo bank wakawa wameshaniwekea kiasi Fulani Cha pesa. Sikujua kama ndo ulikua mkopo wangu au la. Nilikuja kushituka baada ya kufanya withdrawal na balance kuwa ndogo kuliko mkopo nilioomba.
Nikawapigia bank hawakunipa ushirikiano. Nikarudi kwenye mfumo wa utumishi nikakuta mkopo umekuwa cancelled. Nikajaribu kuomba tena kwa bank nyingine ikakubali mpaka hatua ya mwisho na pesa nikazitumia. Zote za bank ya kwanza na ya pili.
Tatizo limekuja sasa. Kila mshara ukiingia nakuta balance ni 0. Na bank ile ya mwanzo wanataka niende kuboresha taarifa za akaunti yangu
Nahisi watanifunga. Ila pia sina mshara mwezi wa pili sasa..Hali ngumu. NIENDE AU NIJIKAZE MPAKA PESA YAO WAIRUDISHE KWA KUNIKATALIA MSHAHARA
Kumbe ndiyo wewe tunayekutafuta umekuja kuomba ushauri huku.Nilikosea. Nilikaa wiki 2 sijatumia hela huku nawatafuta..sema sikwenda tawini sababu ya ziara za kikazi..walikuwa wananivizia sijui..wao wameanza kucheza na mhahara tu
Kwani ni vibaya..? Kuomba ushauri jamani?Kumbe ndiyo wewe tunayekutafuta umekuja kuomba ushauri huku.
Usijali nakuja mapema sanaNjoo mwenyewe hapa bank kesho mapema tunakusubili na pingu zako zipo teyar..
KabisaInatakiwa uende huwezi kukimbia tatizo, you have to overcome problems ,(uncertainty) in other words you have created a problem which can only be resolved by yourself
Huko kuko sawa...hakuna makato zaidiIla kama hauko vizuri kwenye masuala ya mtandao,omba usaidizi tu,ukiingia e loan lazima utaona mikopo yako na makato yake na kila details je we umeangalia kwenye account yako?
Niwaheri mambo? Nimependa pozi lakoSema benk fulani wamezuia mshahara wangu,ipo ni simple ulikula hela ya watu kwa hiyo lazima wakupige pin
Achana naloNiwaheri mambo? Nimependa pozi lako