Kuna mtu niliingia naye mkataba wa kunikodisha chumba cha kufanyia biashara, chumba kilikua hakijakamilika kimatengezo kwahiyo akaniomba fedha kwa ajili ya kukamilisha matengenezo tukakubaliana na mimi nikaandikishiana naye kwamba anipe chumba kikiwa kimekamilika kimatengenezo.
Mimi nikaanza maandalizi ya kununua vifaa mbali mbali kwa ajili ya biashara yangu maana nilijua kwa vile tumeshaingia mkataba hakuna kitakacho kwenda kombo.nimekaa siku kama tano nikaona hakuna matengenezo yoyote yanayoendelea nikaenda kumuliza vipi mbona sioni kinachoendelelea akaniambia wameghairi (wamehairisha) kunikodisha kile chumba cha biashara na wanataka wanirudishie fedha amabazo niliwapa kwa ajili ya kodi.
Nikiangalia kuna gharama ambazo nimeshaingia naomba msaada wa kisheria.
Je, nikienda mahakamani naweza kulipwa hizi gharama ambazo niliingia but keep in mind gharama ambazo nimeingiia ukiachia kodi ni nyingi na wala hatukuandikishiana
Mimi nikaanza maandalizi ya kununua vifaa mbali mbali kwa ajili ya biashara yangu maana nilijua kwa vile tumeshaingia mkataba hakuna kitakacho kwenda kombo.nimekaa siku kama tano nikaona hakuna matengenezo yoyote yanayoendelea nikaenda kumuliza vipi mbona sioni kinachoendelelea akaniambia wameghairi (wamehairisha) kunikodisha kile chumba cha biashara na wanataka wanirudishie fedha amabazo niliwapa kwa ajili ya kodi.
Nikiangalia kuna gharama ambazo nimeshaingia naomba msaada wa kisheria.
Je, nikienda mahakamani naweza kulipwa hizi gharama ambazo niliingia but keep in mind gharama ambazo nimeingiia ukiachia kodi ni nyingi na wala hatukuandikishiana