Naomba msaada wa solution za haya maswali wadau

Um

Umewafuata wanafunzi wenzako wameshindwa kukusaidia?
 
Nawashangaa vijana yani sijui google kwa tanzania walipookea vipi !
mtu unaweza kumuuliza nitafutie jambo fulani au anabisha bila jibu ila ana simu anabaki kuuliza
simu zinatumika kuingia Insta, snap, Tiktok. Alafu ni wakiume hao. #smh
 
πŸ˜‚πŸ˜‚..wewe ndo unawadharau madogo kisa kuna google utadhani ina kila kitu...Enzi zetu tunasoma hakukuwa na google na tulisurvive.
Hizo enzi gani unazungumzia?
sijawadharau nimesema wana option ya kuchagua vya kuangalia kwenye mtandao kuliko vya maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…