Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuma sasa ata ya vochaGod bless you!!
Kheri ya mwaka mpya wanajukwaa la elimu?
Naomba mnisaidie haya maswali ya:
1. The Rydberg constant for hydrogen is 1.09678×107m-1 and that for singly ionized helium is 1.09722.Given that the mass of the helium nucleus is four times that of the hydrogen nucleus.Calculate the ratio of the electron mass to proton mass.
2.Find the ratio of Rydberg constant for deuterium and hydrogen
Wadau naomba na solution mnitumie ili nielewe!
Karibuni Sana
Atomic Physics mkuu!!!! Kama una ujuzi karibu sana
Uko form ngapi?Ndyo mkuu
😂😂😂Huyu dogo kwanza anaonekana mjuaji na ni challenger.. achaneni nae
PoaNtakutumia kesho jion mkuu
Duh nimejifanya kufuatilia....ubongo umekaribia kupasuka
Ha haDuh nimejifanya kufuatilia....ubongo umekaribia kupasuka
simu zinatumika kuingia Insta, snap, Tiktok. Alafu ni wakiume hao. #smhNawashangaa vijana yani sijui google kwa tanzania walipookea vipi !
mtu unaweza kumuuliza nitafutie jambo fulani au anabisha bila jibu ila ana simu anabaki kuuliza
Usijudge sana mkuu, sio kila swali lina solution mtandaon...simu zinatumika kuingia Insta, snap, Tiktok. Alafu ni wakiume hao. #smh
Wewe ni mbishi… weka amount nikupe kitu.Usijudge sana mkuu, sio kila swali lina solution mtandaon...
emu wewe ligoogle hilo swali tuone kama utalipata jibu...Nakupa hela
Cha ten.Wewe ni mbishi… weka amount nikupe kitu.
😂😂 kitendo cha kuficha tu inaonekana hamna kitu...Kwani hayo ni madawa ya kulevya??
Dhereuu hizi sasa 🤣🤣😂😂 kitendo cha kuficha tu inaonekana hamna kitu...Kwani hayo ni madawa ya kulevya??
😂😂..wewe ndo unawadharau madogo kisa kuna google utadhani ina kila kitu...Enzi zetu tunasoma hakukuwa na google na tulisurvive.Dhereuu hizi sasa 🤣🤣
Hizo enzi gani unazungumzia?😂😂..wewe ndo unawadharau madogo kisa kuna google utadhani ina kila kitu...Enzi zetu tunasoma hakukuwa na google na tulisurvive.