Mc Charles Turuka
Member
- Sep 21, 2019
- 6
- 6
TIBA YA HOMA YA INI NI IPI?
Ndugu zangu, Wanajukwaa wenzangu Kuna Ndugu yangu amekuwa akisumbuliwa na Maumivu ya Mbavu za Kulia pamoja na Kukojoa Mkojo wenye rangi ya Kahawia na Kutokwa na Jasho Jingi wakati wa Usiku.
Baada ya vipimo alionekana ana hepatitis B na Tayari ini limeshaanza kushambuliwa hali ya kuweka viupele kwa juu japo si kw wingi.
Katika kutafuta tiba ya Shida hii amehamgaika sana na hajapata dawa mpaka sasa zaidi ya kuzunguka tu.
Kwa heshima kubwa naomba msaada wa Tiba sahihi ya shida hii?
Ahsante.
Ndugu zangu, Wanajukwaa wenzangu Kuna Ndugu yangu amekuwa akisumbuliwa na Maumivu ya Mbavu za Kulia pamoja na Kukojoa Mkojo wenye rangi ya Kahawia na Kutokwa na Jasho Jingi wakati wa Usiku.
Baada ya vipimo alionekana ana hepatitis B na Tayari ini limeshaanza kushambuliwa hali ya kuweka viupele kwa juu japo si kw wingi.
Katika kutafuta tiba ya Shida hii amehamgaika sana na hajapata dawa mpaka sasa zaidi ya kuzunguka tu.
Kwa heshima kubwa naomba msaada wa Tiba sahihi ya shida hii?
Ahsante.