Poluyakhtov
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 358
- 300
Habari za muda huu wana Jamii forum,
Mimi ni kijana ambaye nimechaguliwa chuo cha maji ngazi ya stashahada kozi ya Water Supply and Sanitation Engineering mwaka huu.
Naomba mchango wenu wa tsh. 250,000 ili niweze kulipia semester ya kwanza.Kwa sasa ninacho kiasi cha Shilingi.360,000 na malipo kwa Semester ni Sh.610,000.
Chuo kitafunguliwa tarehe 23 mwezi huu.
kwa yeyote atakayekuwa na nia ya kunisaidia atumie namba 0689997808,
Jina: Thomas Mbata.
Mara nyingi namba haipatikani kwa sababu natumia simu ya kuazima tu.
Ni mara ya pili sasa nachaguliwa kujiunga na chuo, mwaka jana nilipangiwa Vikindu TTC lakini sikuweza kuripoti kwa kukosa fedha.
Naambatanisha screenshot ya sehemu ya orodha ya waliochaguliwa Batch II ya chuo cha Maji, jina langu lipo namba 151.
Mungu awabariki sana!
Mimi ni kijana ambaye nimechaguliwa chuo cha maji ngazi ya stashahada kozi ya Water Supply and Sanitation Engineering mwaka huu.
Naomba mchango wenu wa tsh. 250,000 ili niweze kulipia semester ya kwanza.Kwa sasa ninacho kiasi cha Shilingi.360,000 na malipo kwa Semester ni Sh.610,000.
Chuo kitafunguliwa tarehe 23 mwezi huu.
kwa yeyote atakayekuwa na nia ya kunisaidia atumie namba 0689997808,
Jina: Thomas Mbata.
Mara nyingi namba haipatikani kwa sababu natumia simu ya kuazima tu.
Ni mara ya pili sasa nachaguliwa kujiunga na chuo, mwaka jana nilipangiwa Vikindu TTC lakini sikuweza kuripoti kwa kukosa fedha.
Naambatanisha screenshot ya sehemu ya orodha ya waliochaguliwa Batch II ya chuo cha Maji, jina langu lipo namba 151.
Mungu awabariki sana!