tongs
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 539
- 942
Sasa kumbe unazo techniques za kutosha, basi msaidie jamaa. Nimesoma reactions zako hapo juu, sina haja ya kubishana nawewe. ShikamooWe huyajui maisha halafu tuliza akili, Mimi nlikwenda chuo sina ada wala nini, nlikuwa nanunua mkate wa buku nakunywa chai saa tano nusu kipande halafu namalizia nusu kipande chengine saa kumi na mbili jioni nalala. kipindi kimoja asubuhi kimoja jioni kikiisha cha asubuhi nalala msikitini mpaka jioni maana mia mbili ya daladala ya kurudi ghetto ambako nlifadhiliwa tu na mshkaji sikuwa nayo. ila mbona nlimaliza na sasa good times?? sikujali stationeries, sikujali sana ishu ya meals.