Naomba msaada wa Tsh.250,000/=

Naomba msaada wa Tsh.250,000/=

We huyajui maisha halafu tuliza akili, Mimi nlikwenda chuo sina ada wala nini, nlikuwa nanunua mkate wa buku nakunywa chai saa tano nusu kipande halafu namalizia nusu kipande chengine saa kumi na mbili jioni nalala. kipindi kimoja asubuhi kimoja jioni kikiisha cha asubuhi nalala msikitini mpaka jioni maana mia mbili ya daladala ya kurudi ghetto ambako nlifadhiliwa tu na mshkaji sikuwa nayo. ila mbona nlimaliza na sasa good times?? sikujali stationeries, sikujali sana ishu ya meals.
Sasa kumbe unazo techniques za kutosha, basi msaidie jamaa. Nimesoma reactions zako hapo juu, sina haja ya kubishana nawewe. Shikamoo
 
Oya mkuu, kama una nia ya kumsaidia wewe msaidie tu. sasa akatafute kazi ya ulinzi leo? huo mshahara atalipwa lini? na deadline ya kulipia chuo imefika. Hebu kueni mnafikiria basi kidogo.
Afanye wk 1 kisha amfuate boss wake. Hatakataa kumpa advance. Lengo hapa ni lazima aonyeshe kupambana kwanza. Akiona pagumu arudi hapa binafsi ntamchangia 100,000 ila nione efforts zake kwanza
 
Hiyo 360000 bet mkeka tuu wape Barcelona, Real Madrid, Juventus na Man city utapata zaidi ya million moja.
 
pole mdogo wangu..
ambatanisha na kitambulisho chako ili tujue hilo jina kwenye kiambatanisho ni wewe..
 
Mtu amejieleza toka ndani ya Nafsi yake lakini humu vilaza wanamkejeli,wanamponda wengine wanamdhalilisha wamejisahau kua shida ni ya kila mtu hapa duniani
MLETA MADA NAOMBA NAMBA YAKO YA SIMU NIKUCHANGIE NILICHO NACHO,,[emoji1321]
 
Matapeli ni wengi ndugu yangu. Ungekuwa na ID ya jina lako, ukaweka vyeti vyako na hayo matokeo ungepata msaada chap tuu. Ukisema namba ni hyo na jina ni hlo kwenye list watu ni vigum kuelewa maana siku hz hata ukiwa unasajili lain wanakuuliza tuandike jina hili au lingine. Kuwa serious utasaidiwa.

Mwizi siku zote hamwamini mtu[emoji1321]
 
Account ya chuo hiki hapa
Jina:Water Development and Management Institute, Akaunti :22501000004, Benki:NMB Mlimani City Branch,Dar es Salaam.
Sipo hapa kwa nia ya kitapeli. Nimeweka namba hapa kwa sababu,siku ya kuripoti natakiwa niwe na risiti za benki na si vinginevyo!
Nenda Radioni, hasa kwa Zembwela, CloudsFM, EFM n.k. Usisahau TV's
Utapata michango kama una nia, uwe na details kama hizi za chuo na za kwako dogo, yawezekana, kina Nick wa Pili wasikilize muda huu EARadio, walipitia maisha hayo hayo ya kuunga unga, wakasoma mpaka kujiajiri, nawe utafika, pambana dogo, hii ni vita kwako..Usijali na watakaokubeza, usitukane wa kuwajibu, wewe jali watakaokuwa positive na ombi lako. Kila la kheri...
 
Uchaguzi mkuu 2015 kura ulipiga? Na ulimpa nani kura yako? Kati ya elimu bure had fm4 au elimu bure had chuo?
Wabongo bhana, km hujisikii kumsaidia mtu ama hauna pesa ni bora ukae kimya, mara mia hata umpe pole kuliko maziganya haya unayoboronga, huwez jua ni kias gani unamkwaza mwenzio..
 
Mtu amejieleza toka ndani ya Nafsi yake lakini humu vilaza wanamkejeli,wanamponda wengine wanamdhalilisha wamejisahau kua shida ni ya kila mtu hapa duniani
MLETA MADA NAOMBA NAMBA YAKO YA SIMU NIKUCHANGIE NILICHO NACHO,,[emoji1321]
0689997808 namba ni hiyo hapo ndugu
 
Kama upo dar tukupe namba za mafundi ujenzi ukawe saidia fundi per day unapata 10000 lako kama ww sio mvivu
Pesa imekuwa ngumu sana kipindi hich mdogo wangu hata makusanyo sadaka church yamepungua wachungaj wana lalamika sana
 
Back
Top Bottom