R Record Man JF-Expert Member Joined May 25, 2023 Posts 525 Reaction score 876 Oct 7, 2024 #1 Habari wakuu naomba msaada wenu kuhusu safari za train kutoka mbeya kwenda Dar es Salaa. Ni lini inatoka mbeya kwenda DSM. Zote zikiwemo express na ordinary. Mbeya linaondoka siku gani? Msaada please.
Habari wakuu naomba msaada wenu kuhusu safari za train kutoka mbeya kwenda Dar es Salaa. Ni lini inatoka mbeya kwenda DSM. Zote zikiwemo express na ordinary. Mbeya linaondoka siku gani? Msaada please.
N njinjo JF-Expert Member Joined Feb 15, 2019 Posts 4,001 Reaction score 5,374 Oct 7, 2024 #2 Mh! Kumekucha
T tunduma001 JF-Expert Member Joined Jun 7, 2021 Posts 403 Reaction score 762 Oct 7, 2024 #3 Express mbeya inatoka juma tano na ordinary mbeya inatoka juma mosi ila kwa sasa kuna ajali kati ya mlimba na mahongole ivyo hakuna treni yoyote
Express mbeya inatoka juma tano na ordinary mbeya inatoka juma mosi ila kwa sasa kuna ajali kati ya mlimba na mahongole ivyo hakuna treni yoyote
R Record Man JF-Expert Member Joined May 25, 2023 Posts 525 Reaction score 876 Oct 7, 2024 Thread starter #4 tunduma001 said: Express mbeya inatoka juma tano na ordinary mbeya inatoka juma mosi ila kwa sasa kuna ajali kati ya mlimba na mahongole ivyo hakuna treni yoyote Click to expand... Asante
tunduma001 said: Express mbeya inatoka juma tano na ordinary mbeya inatoka juma mosi ila kwa sasa kuna ajali kati ya mlimba na mahongole ivyo hakuna treni yoyote Click to expand... Asante
Daudi1 JF-Expert Member Joined Dec 14, 2013 Posts 12,444 Reaction score 18,741 Oct 7, 2024 #5 jumatano na jumamos
M Munch wa annabelletz47 JF-Expert Member Joined Aug 13, 2019 Posts 1,885 Reaction score 3,227 Oct 7, 2024 #6 Bei?
Mr Slim JF-Expert Member Joined Sep 11, 2018 Posts 2,652 Reaction score 5,242 Oct 8, 2024 #7 Munch wa annabelletz47 said: Bei? Click to expand... Ulivyouliza bei,umenikumbusha nikiwa Chuo napanda zangu treni pale Iyunga kuja dar,nauli wanafunzi ilikua mpaka Elfu 6 hivi third class,second 11k kama nipo sahihi, tumetoka mbali Sana aisee.
Munch wa annabelletz47 said: Bei? Click to expand... Ulivyouliza bei,umenikumbusha nikiwa Chuo napanda zangu treni pale Iyunga kuja dar,nauli wanafunzi ilikua mpaka Elfu 6 hivi third class,second 11k kama nipo sahihi, tumetoka mbali Sana aisee.
M Munch wa annabelletz47 JF-Expert Member Joined Aug 13, 2019 Posts 1,885 Reaction score 3,227 Oct 8, 2024 #8 Kwasasa sjuh itakua bei gani