Naomba msaada wenu juu ya safari ya train kutoka mbeya kwenda Dar es Salaam

Record Man

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2023
Posts
525
Reaction score
876
Habari wakuu naomba msaada wenu kuhusu safari za train kutoka mbeya kwenda Dar es Salaa.

Ni lini inatoka mbeya kwenda DSM. Zote zikiwemo express na ordinary. Mbeya linaondoka siku gani?

Msaada please.
 
Express mbeya inatoka juma tano na ordinary mbeya inatoka juma mosi ila kwa sasa kuna ajali kati ya mlimba na mahongole ivyo hakuna treni yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…