Naomba msamaha Mgunda kwa kujaribu kufananisha na pandikizi David. ndio kocha mwenye CV mbovu zaidi ligi kuu kwa sasa Hafai ata kuwa kocha wa pamba

Naomba msamaha Mgunda kwa kujaribu kufananisha na pandikizi David. ndio kocha mwenye CV mbovu zaidi ligi kuu kwa sasa Hafai ata kuwa kocha wa pamba

Kuna watu wanataka Mo atoke Simba kwa kupigwa na mawe. hivi vituko wanavhosema vinaletwa na Mo mwenyewe ni mtego.
Siamini kama kweli Ni viongozi wa Simba ndio waliomleta hiki kiituko na kumpa umeneja. Au kuna watu wa Yanga wamepenyezwa kuiua simba kabisa.

Hapa tuwe wakweli hii Timu bora ata wangempa Maxime au Fikiri asistance aliyefukuzwa Coastal kama sio Mkwasa au Julio. Wote hao ni bora mno kuliko huyu.

Hiki ni kituko haswa. Takwimu kabla ya kuwa kocha msaidizi uko Laja Fadli David alikuwa kocha wa klabu Ya South Africa Murtzuburg United kwa miaka 6.

Ana wastani wa kupata point 1.18 kwa mechi kwenye mwaka wa mwisho akiwa kocha wa ligi Dalaja la kwanza South Africa 2022-2023.
Hizo ni point chache kuliko kocha yoyote aliye ligi kuu kwa sasa.
wakati msimu uliopita aliishusha daraja.

Baada ya kukosa timu toka atoke Murtzubirg mwaka 2023 ndio akaajiliwa kwenye bench la laja. llaja. Toka kocha mkuu miaka sita adi msaidizi hahahahaaaa


Aliifundisha Orando Pires mwaka moja Timu ilitoka nafasi ya Pili hadi 6. Na alipofukuzwa ikawa ya pili orando hadi msimu huu.

Hivyo hafai kulinganishwa na Mgunda, Wala mkwasa au Maxime. Au ata Kali Ongala. Ana hadhi ya Makocha wa Ligi daraja la kwanza. hafai ata kuwa kocha wa pamba au Mashujaa.

Mwaka juzi aliishusha Murtzubirg United. Mwaka unaofata akaiacha hukohuko chini wakamtema.


Kwanini viongozi Simba wanaacha historia yake ya Ukocha mkuu kwa miaka Saba wanakuja kujibanza kwenye kivuli cha Kuwa benchi la ufundi la Laja.
Tatizo la simba siyo kocha, narudia tatizo la simba ni wanachama, Simba inahitaji, (transformation), mabadiliko makubwa ya uendeshaji atakayefanya mabadiliko hayo ni wanachama
 
Kuna watu wanataka Mo atoke Simba kwa kupigwa na mawe. hivi vituko wanavhosema vinaletwa na Mo mwenyewe ni mtego.
Siamini kama kweli Ni viongozi wa Simba ndio waliomleta hiki kiituko na kumpa umeneja. Au kuna watu wa Yanga wamepenyezwa kuiua simba kabisa.

Hapa tuwe wakweli hii Timu bora ata wangempa Maxime au Fikiri asistance aliyefukuzwa Coastal kama sio Mkwasa au Julio. Wote hao ni bora mno kuliko huyu.

Hiki ni kituko haswa. Takwimu kabla ya kuwa kocha msaidizi uko Laja Fadli David alikuwa kocha wa klabu Ya South Africa Murtzuburg United kwa miaka 6.

Ana wastani wa kupata point 1.18 kwa mechi kwenye mwaka wa mwisho akiwa kocha wa ligi Dalaja la kwanza South Africa 2022-2023.
Hizo ni point chache kuliko kocha yoyote aliye ligi kuu kwa sasa.
wakati msimu uliopita aliishusha daraja.

Baada ya kukosa timu toka atoke Murtzubirg mwaka 2023 ndio akaajiliwa kwenye bench la laja. llaja. Toka kocha mkuu miaka sita adi msaidizi hahahahaaaa


Aliifundisha Orando Pires mwaka moja Timu ilitoka nafasi ya Pili hadi 6. Na alipofukuzwa ikawa ya pili orando hadi msimu huu.

Hivyo hafai kulinganishwa na Mgunda, Wala mkwasa au Maxime. Au ata Kali Ongala. Ana hadhi ya Makocha wa Ligi daraja la kwanza. hafai ata kuwa kocha wa pamba au Mashujaa.

Mwaka juzi aliishusha Murtzubirg United. Mwaka unaofata akaiacha hukohuko chini wakamtema.


Kwanini viongozi Simba wanaacha historia yake ya Ukocha mkuu kwa miaka Saba wanakuja kujibanza kwenye kivuli cha Kuwa benchi la ufundi la Laja.
Kuandika kwenyewe mtihani...Punguza wenge
 
Kuna watu wanataka Mo atoke Simba kwa kupigwa na mawe. hivi vituko wanavhosema vinaletwa na Mo mwenyewe ni mtego.
Siamini kama kweli Ni viongozi wa Simba ndio waliomleta hiki kiituko na kumpa umeneja. Au kuna watu wa Yanga wamepenyezwa kuiua simba kabisa.

Hapa tuwe wakweli hii Timu bora ata wangempa Maxime au Fikiri asistance aliyefukuzwa Coastal kama sio Mkwasa au Julio. Wote hao ni bora mno kuliko huyu.

Hiki ni kituko haswa. Takwimu kabla ya kuwa kocha msaidizi uko Laja Fadli David alikuwa kocha wa klabu Ya South Africa Murtzuburg United kwa miaka 6.

Ana wastani wa kupata point 1.18 kwa mechi kwenye mwaka wa mwisho akiwa kocha wa ligi Dalaja la kwanza South Africa 2022-2023.
Hizo ni point chache kuliko kocha yoyote aliye ligi kuu kwa sasa.
wakati msimu uliopita aliishusha daraja.

Baada ya kukosa timu toka atoke Murtzubirg mwaka 2023 ndio akaajiliwa kwenye bench la laja. llaja. Toka kocha mkuu miaka sita adi msaidizi hahahahaaaa


Aliifundisha Orando Pires mwaka moja Timu ilitoka nafasi ya Pili hadi 6. Na alipofukuzwa ikawa ya pili orando hadi msimu huu.

Hivyo hafai kulinganishwa na Mgunda, Wala mkwasa au Maxime. Au ata Kali Ongala. Ana hadhi ya Makocha wa Ligi daraja la kwanza. hafai ata kuwa kocha wa pamba au Mashujaa.

Mwaka juzi aliishusha Murtzubirg United. Mwaka unaofata akaiacha hukohuko chini wakamtema.


Kwanini viongozi Simba wanaacha historia yake ya Ukocha mkuu kwa miaka Saba wanakuja kujibanza kwenye kivuli cha Kuwa benchi la ufundi la Laja.
Bado unahangaika tu na ishu ya huyu kocha uzi wa ngapi huu unaanzisha juu yake? Achana na mambo ya Simba andika kuhusu utopolo yako tumeshakuchoka. Au huna kazi ya kufanya?
 
Hawa madogo huwa wanatafuta wanaume humu JF kwa kila namna. Anahangaika sana na Simba. Akiandika ana mtumia na Hersi amwone kuwa ameiponda Simba.
huyo Mshumbusi ni mwanasimba mwenzenu, sema kwakua kaamua kuongea ukweli munampinga,......... sawa, ngojeni ligi ianze mutamuelewa tu.
 
Ligi ikipamba moto, unakuja na ID nyingine na kuanza kuporomosha matusi kwa Mangungu 😂😂😂
V

Yanga wenye akili ni wawili tu na wewe haumo.

Vincent Kompany ametoka kuishusha Burnley kutoka EPL kwenda Championship ila Bayern Munich wamemuamini na kumpa awe kocha wao.

Macho ya wenye akili hayawezi kuwa sawa na Wapumbavu.
 
Acha ujuha wewe.
Arteta katoka kuwa Kocha msaidizi Man City na kwenda Arsenal, sasa cha ajabu nini kwa kocha wa Simba?
Huyu alikuwa kocha mkuu kwa miaka 6. Sio Arteta aliyeanza kama asistance akapanda.

simba wanajua sifa Zake ndiomaana wanaepuka Cv zake zote hasa akiwa kocha.
Watu wamempiga picha mo kabisa asije wageuka uko kuwa Anatoa ela wanampiga
 
Zile zama za viongozi kujua kila kitu zimeisha.
Sasa hata unawaongoza wanajua zaidi kuliko hata hao viongozi.
Wajue kuwa zama hizi sio wote ni mashabiki maandazi.
Mashabiki wa sasa wanajua mambo mengi kuliko wanaongoza kwa hiyo wajue wanapochangua chochote kitajulikana kinaga ubaga.
 
Unaumia ukiwa wapi?
We sio Shabiki kaka. Simba inachanwa chanwa tu sasaivi
V

Yanga wenye akili ni wawili tu na wewe haumo.

Vincent Kompany ametoka kuishusha Burnley kutoka EPL kwenda Championship ila Bayern Munich wamemuamini na kumpa awe kocha wao.

Macho ya wenye akili hayawezi kuwa sawa na Wapumbavu.
Kwa akili zako kapewa timu kwa sifa kuishusha timu Daraja?

Campany ni kocha chipkizi kaka. Sawa na arteta. Huyu ni kocha kwa miaka kumi na hajafanya lolote kwa muda wote huo.

Leo anakuja baada ya kukosa timu na kuwa asistance wa mtu.

Hakuna muujiza kwenye vitu bayana kaka
 
umemuona akifundisha timu gani. anavyeti lkn sio kocha. hajawah fanya lolote
 
Back
Top Bottom